I M
JF-Expert Member
- Dec 23, 2012
- 434
- 767
Inasemakana Bomb lililomuua Ismael Haniyeh kiongozi wa Hamas lilipandikizwa nyumba ya wageni miezi miwili kabla! Nyumba inayoendeshwa na kulindwa na The Islamic Revolutionary Guards Corps.
Inawezekanaje bomb likae mda mrefu hivyo bila kugundulika na ilikua na ulinzi mkali?
Je, Ulinzi wa Iran na Ismael Haniyeh hawakukagua kabla kiongozi wao hajaingia? Au walikagua na hawakuona kitu!
Pia, Mossad walijuaje kua jamaa atakuja kulala hapo?
My take: Mossad ndio inaweza kua agency bora zaidi au Iran is iverrated, Iran na wapambe wake wote zero.
Inawezekanaje bomb likae mda mrefu hivyo bila kugundulika na ilikua na ulinzi mkali?
Je, Ulinzi wa Iran na Ismael Haniyeh hawakukagua kabla kiongozi wao hajaingia? Au walikagua na hawakuona kitu!
Pia, Mossad walijuaje kua jamaa atakuja kulala hapo?
My take: Mossad ndio inaweza kua agency bora zaidi au Iran is iverrated, Iran na wapambe wake wote zero.