Ni aidha Israel wana agency bora zaidi duniani au Iran ndio waliodorora kupitiliza

Ni aidha Israel wana agency bora zaidi duniani au Iran ndio waliodorora kupitiliza

Tehee hee hatari sana watakua wanajipekua mpaka chupi wakihisi kuna kitu kimepandikizwa. Aise kwa tukio hili naamini kabisa ile helcopter ya rais ilishushwa na wayahudi ila KWA UFUNDI WA HALI YA JUU bila kuacha chembe ya alama.
Na jamaa hawasemi kitu wananyamaza tu. Hizo credit watakuja kuzichukua baadae baada ya kujihakikishia ushindi.
 
hakika Arabs na wapambe wao kina Malaria 2 FaizaFoxy na wasaka bikra 72 wote wanakaza tu fuvu ila ndani wanajua Arabs na muslims kwa ujumla ni mabua hawana lolote kama mtu anapumzishwa kwenye ngome yao sasa wapi watakua salama.
Hakuana uhusiano wowote wa "Arabs" na "Muslims".

Unafahamu kuwa Waislam wengi duniani siyo hao unaowaita "Arabs"?
 
Hilo la Iran lisikupe shaka, wahenga wa Kiswahili wanasema "kazi ya Mungu haina makosa".

Hilo la Iran lisikupe shaka, wahenga wa Kiswahili wanasema "kazi ya Mungu haina makosa".
Mkuu vp unasemaje kuhusu magaid yote kuwahishwa jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe ndugu mdau
 
Hakuana uhusiano wowote wa "Arabs" na "Muslims".

Unafahamu kuwa Waislam wengi duniani siyo hao unaowaita "Arabs"?
haibadili hoja yangu indoctrinated muslims ni watu msio na reasoning wala logic inshort you are a bunch of brainwashed idiots.

Na unaposema hakuna uhusiano ili hali Quran imeandikwa Kiarabu una basis gani ya hoja yako.
 
Back
Top Bottom