Ni aina gani ya friji ya mtumba ni imara na nzuri

in
ina ujazo gani au ukubwa gani frige yako?
 
nina kitu inaitwa Bush mtumba grade one ni kama zari nilipata kuipata hii friji nilinunua lak 5 leo ina mwaka wa nne haimjui fundi wala cha nani ubaridi wake ndani ya dakika 5 tu.silence yake hatari unaweza ukahis haipo on.ipo kimy no kelele kbsa ingia ucheki vitu ndani freezer chini moshi tu mabarafuu juu ni ubarid tu wa kufa mtu.tafuta Bush friji hutojuta
 
Vipi kuhus friji za toshiba milango mitatu hiyo ipo vzur na n energy saver au sio nipeni ushaur nataka kununua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…