Ni aina gani ya ugonjwa huu, mgonjwa anakakamaa na kung'ata ulimi?

Ni aina gani ya ugonjwa huu, mgonjwa anakakamaa na kung'ata ulimi?

Under-cover

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2023
Posts
1,834
Reaction score
3,042
Wakuu habarini smaahani,

Ninaomba kwa anayeweza kufahamu mtu anayekuwa katika hali hii anakuwa anasumbuliwa na ugonjwa gani?

Nina Baba Mkubwa wangu yeye kuna hali humtokea yani unakuta amelala, mara gafla utakuta anakoloma halafu anakuwa anakakamaa huku akitapa tapa, halafu anakula ulimi na damu kutoka hadi mapovu, baadae kidgo hali inatulia then anakuwa sawa ila akilala ten kidogo hali inarudi vile vile, msaada wakuu🙏
 
Hana ugonjwa, hakikisha awe anakula mlo kamili na ashibe vizuri
 
Mkuu humu sio hospital utapata majibu tofauti kutoka kwa wataalamu na wasio wataalamu NENDA HOSPITALI
 
Kifafa hiki.

Mgonjwa asikae karibu na Moto, au chanzo cha maji, km kisima, bwawa, ziwa, mto na bahari.

Hatari sanaa, Poleee yake mzee. [emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom