Ni ajabu huyo anayelaumiwa ndiye alikuwa Mfungaji bora namba mbili msimu uliopita

Ni ajabu huyo anayelaumiwa ndiye alikuwa Mfungaji bora namba mbili msimu uliopita

May Day

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2018
Posts
6,311
Reaction score
9,027
Mashabiki wa Mpira wa Tanzania ni wa ajabu sana, ni kama kundi la Watu tusiojua haswa tunataka nini.

Leo hii mnamdhihaki Mtu aliyefunga magoli mengi kuliko Wachezaji wote wa ligi msimu uliopita akipitwa na Mchezaji mmoja tena kwa kuzidiwa goli moja tu?.

Kama yeye analaumiwa ni nini mnawaambia wale walioshindwa kabisa kufunga walau magoli matatu?.

Hivi hali ingekuwaje kama angemaliza msimu akiwa na magoli mawili tu?.

Hivi kati ya Wachezaji walioshindwa kazi unaweza kumuhesabu Mchezaji aliyewashinda wenzake kwa kufunga?.

Tuwe na tabia ya kuwapa Watu moyo badala ya kung'angania kuwalaumu tu.

Na kama inaonekana yeye anakosa sana magoli kwa nini hao wengine wasipate nafasi hizohizo kama anazopata yeye?.
 
Mashabiki ni watu wanaoendeshwa na matukio...mdomo mali yao
 
Mashabiki wa Mpira wa Tanzania ni wa ajabu sana, ni kama kundi la Watu tusiojua haswa tunataka nini.

Leo hii mnamdhihaki Mtu aliyefunga magoli mengi kuliko Wachezaji wote wa ligi msimu uliopita akipitwa na Mchezaji mmoja tu?.

Kama yeye analaumiwa ni nini mnawaambia wale walioshindwa kabisa kufunga walau magoli matatu?.

Hivi hali ingekuwaje kama angemaliza msimu akiwa na magoli mawili tu?.

Hivi kati ya Wachezaji walioshindwa kazi unaweza kumuhesabu Mchezaji aliyewashinda wenzake kwa kufunga?.

Tuwe na tabia ya kuwatiwa Watu moyo badala ya kung'angania kulaumu tu.

Na kama inaonekana yeye anakosa sana magoli sana kwa nini hao wengine wasipate nafasi hizohizo kama anazopata yeye?.
Watanzania tuna shida mahali mkuu! usinba na uyanga unadumaza akili zetu!

Hizi timu mbili zinachochea ujinga kwa watanzania tulio wengi, unakuta watu wanajadili usimba na uyanga asubuhi hadi jioni.
 
Kafunga mechi nyepesi

1) Simba vs Biashara
4-0
Mugalu=1

2)Simba vs Gwambina
3-0
Mugalu=1

3)JKT TZ vs Simba
0-4
Mugalu=1

4)Simba vs Ihefu
4-0
Mugalu=1

5)Simba vs JKT
3-0
Mugalu=1

6)Kagera vs Simba
0-2
Mugalu=1

7)Simba vs Dodoma
3-1
Mugalu=2

8) Namungo vs Simba
1-3
Mugalu=1

9) Ruvu vs Simba
0-3
Mugalu=1

10)KMC vs Simba
0-2
Mugalu=2

11)Simba vs Coastal
2-0
Mugalu=1

12)Simba vs Namungo
4-0
Mugalu=1

Jumla magoli 15
 
Mashabiki wa Mpira wa Tanzania ni wa ajabu sana, ni kama kundi la Watu tusiojua haswa tunataka nini.

Leo hii mnamdhihaki Mtu aliyefunga magoli mengi kuliko Wachezaji wote wa ligi msimu uliopita akipitwa na Mchezaji mmoja tu?.

Kama yeye analaumiwa ni nini mnawaambia wale walioshindwa kabisa kufunga walau magoli matatu?.

Hivi hali ingekuwaje kama angemaliza msimu akiwa na magoli mawili tu?.

Hivi kati ya Wachezaji walioshindwa kazi unaweza kumuhesabu Mchezaji aliyewashinda wenzake kwa kufunga?.

Tuwe na tabia ya kuwatiwa Watu moyo badala ya kung'angania kulaumu tu.

Na kama inaonekana yeye anakosa sana magoli sana kwa nini hao wengine wasipate nafasi hizohizo kama anazopata yeye?.
Nyoosha maelezo! Sema sisi mashabiki wa mbumbumbu fc aka Moo fc aka Mikia fc aka Makolokocho fc aka mapaka fc aka Mwamedi fc, tuna matatizo sana.

Ukitujumisha wote unakua hujatutendea haki. Mbona sisi wenzenu msimu uliopita tulikua safu butu ya ushambuliaji ya akina Sarpong, Fiston, Duma na nk. Kakini tulivumilia? Inakuwaje kwa Mugalu, mnakosa kabisa uvumilivu!!
 
Inakuwa unajua Kwa wasiojua alikuwa na uwezo wa kufunga hata 20+ yeye na mwenzie bocco ukilinganisha na nafasi wanazopata kutoka Kwa viungo sijui kocha ana mtazamo gani kuhusu kibu au kagere
 
Nilicho wasoma watu, ni kuwa kwanini kipenzi chao kagere anakaa nje?
Hili ndilo tatizo kwao, hayo ya kukosa magoli ni nyimbo tu
Ila hata Kagere awamu hii hakuwa na mda mzuri labda kwa vile hapewi Sana mda mwingi uwanjani
 
Kafunga mechi nyepesi

1) Simba vs Biashara
4-0
Mugalu=1

2)Simba vs Gwambina
3-0
Mugalu=1

3)JKT TZ vs Simba
0-4
Mugalu=1

4)Simba vs Ihefu
4-0
Mugalu=1

5)Simba vs JKT
3-0
Mugalu=1

6)Kagera vs Simba
0-2
Mugalu=1

7)Simba vs Dodoma
3-1
Mugalu=2

8) Namungo vs Simba
1-3
Mugalu=1

9) Ruvu vs Simba
0-3
Mugalu=1

10)KMC vs Simba
0-2
Mugalu=2

11)Simba vs Coastal
2-0
Mugalu=1

12)Simba vs Namungo
4-0
Mugalu=1

Jumla magoli 15
Kwenye ligi kuna mechi nyepesi ungewekwa ww ungefunga
 
yan mchezaji anapata nafas nne mpaka tano anakosa kufunga alafu ww unataka tumpe moyo yan umr ule bado tumpe tu,binadam yoyote ktk sekta au nafas yake akifanya vzur atasifiwa na kishangiliwa na kuonekana anafaa ,akikosea bas wajibu akosolewe uyo mugalu kipind anafunga si tulishangilia yan unataka akikosa pia tushangilie ili iweje sasa ,alafu sio kama mchezaj hatakiwi kukosa magol hapana kukosa kupo ila shida yule bwana makosa yake yanajirudia sana na pia ktk mechi hiz tunazoita kubwa mugalu kama angekua anatumia nafas ata nusu ya anazopata bas msimu uliopita alitakiwa yeye ndio awe mfungaj bora na zaid ya magol 20
 
Sio kigezo,kigezo anaaminiwa mpaka kwenye mechi muhimu lakini anakosa magoli kizembe.
 
Magoli ya offside ndiyo mengi ya halali hata tano hakufikisha
 
Mugalu apambane sana,wakina Chama na Merquisone waliokua wakimrahisishia kazi sasa hawapo.
 
Kafunga mechi nyepesi

1) Simba vs Biashara
4-0
Mugalu=1

2)Simba vs Gwambina
3-0
Mugalu=1

3)JKT TZ vs Simba
0-4
Mugalu=1

4)Simba vs Ihefu
4-0
Mugalu=1

5)Simba vs JKT
3-0
Mugalu=1

6)Kagera vs Simba
0-2
Mugalu=1

7)Simba vs Dodoma
3-1
Mugalu=2

8) Namungo vs Simba
1-3
Mugalu=1

9) Ruvu vs Simba
0-3
Mugalu=1

10)KMC vs Simba
0-2
Mugalu=2

11)Simba vs Coastal
2-0
Mugalu=1

12)Simba vs Namungo
4-0
Mugalu=1

Jumla magoli 15
Kama ni rahisi basi si kungekuwa na Wenye magoli kumzidi, kwani ni Simba tu ndio waliocheza na hizo timu?,
 
yan mchezaji anapata nafas nne mpaka tano anakosa kufunga alafu ww unataka tumpe moyo yan umr ule bado tumpe tu,binadam yoyote ktk sekta au nafas yake akifanya vzur atasifiwa na kishangiliwa na kuonekana anafaa ,akikosea bas wajibu akosolewe uyo mugalu kipind anafunga si tulishangilia yan unataka akikosa pia tushangilie ili iweje sasa ,alafu sio kama mchezaj hatakiwi kukosa magol hapana kukosa kupo ila shida yule bwana makosa yake yanajirudia sana na pia ktk mechi hiz tunazoita kubwa mugalu kama angekua anatumia nafas ata nusu ya anazopata bas msimu uliopita alitakiwa yeye ndio awe mfungaj bora na zaid ya magol 20
Jiulize yeye anapataje hizo nafasi?.

Kuna Washambuliaji wangapi kwenye Ligi Kuu na kwa nini wao hawakutani na hizo nafasi?.

Kwa nini isiwe wasifgu wake ni kuwepo kwenye nafasi sahihi kwa wakati kuliko Wahezaji wote wa Ligi kuu?.

Kungekuwa na Wachezaji wenye uwezo kumshinda si wangemzidi kwa idadi ya magoli?.

Sasa yupi bora kwenu, anayekosa nafasi mia na kupata magoli 15 na kuwa Mfungaji bora au asiyekosa kabisa na kuishia kuwa na magoli matano tu msimu mzima?.
 
Jiulize yeye anapataje hizo nafasi?.

Kuna Washambuliaji wangapi kwenye Ligi Kuu na kwa nini wao hawakutani na hizo nafasi?.

Kwa nini isiwe wasifgu wake ni kuwepo kwenye nafasi sahihi kwa wakati kuliko Wahezaji wote wa Ligi kuu?.

Kungekuwa na Wachezaji wenye uwezo kumshinda si wangemzidi kwa idadi ya magoli?.

Sasa yupi bora kwenu, anayekosa nafasi mia na kupata magoli 15 na kuwa Mfungaji bora au asiyekosa kabisa na kuishia kuwa na magoli matano tu msimu mzima?.
anapata nafas yeye kwa sababu anatengenezewa na wenzake mwisho mpra unamkuta yeye na si rahisi sana timu zikafanana kila ktu mfano pasi kona offiside shot on taget au off taget kuna moja inazd inategemea na wachezaji na mfumo na ubora wa mchezaj mmoja mmoja ,kwa tanzania simba karibu mechi nying ikicheza
Wao wanakua wana uwezo wa kutengeneza nafas nying kuliko wengine ata ukiangalia ligi iliyopita wamefunga magoli mengi ,wametengeneza nafas nyng ,ukiulza kwann wachezaji wa timu nyngne hawakufunga magoli kuzd 15 ,je hao wachezaj wengine timu zao zina watengenezaj wazur kama waliokua simba ,kuna timu alitoa pasi za magol bora ana asist nne au sita wakat simba kuna wachezaj wawil ambao kila mmoja anaasist zaid ya 10 ,mugalu tumpe sio na wachezaji kutoka timu nyngne tumpime kwa timu yake je nafas anazopata na magol anayofunga ni sawa na je kila cku utacheza ukitegemea upate nafas tano au zaid ndio ufunge na pia kwan kuna ubaya gan kufunga magoli zaid ya anayofunga kwa sababu nafas si anapata
 
Jiulize yeye anapataje hizo nafasi?.

Kuna Washambuliaji wangapi kwenye Ligi Kuu na kwa nini wao hawakutani na hizo nafasi?.

Kwa nini isiwe wasifgu wake ni kuwepo kwenye nafasi sahihi kwa wakati kuliko Wahezaji wote wa Ligi kuu?.

Kungekuwa na Wachezaji wenye uwezo kumshinda si wangemzidi kwa idadi ya magoli?.

Sasa yupi bora kwenu, anayekosa nafasi mia na kupata magoli 15 na kuwa Mfungaji bora au asiyekosa kabisa na kuishia kuwa na magoli matano tu msimu mzima?.
Mkuu acha uongo kwa style wanayocheza simba striker yoyote yule ni rahisi kufunga magoli zaidi ya 10 kwa msimu akipata tu nafasi ya kucheza ndio maana kwa karibu misimu minne sasa mfungaji bora wa ligi anatokea simba

Kwahiyo mugalu kufikisha goli 15 msimu uliopita ni kawaida tu kulingana na alivyoaminiwa kucheza wakina kagere na okwi walikuwa wakifikisha 20+ tena wakicheza mastriker watatu

Sasa huyu Mugalu kaaminiwa timu inacheza na striker mmoja ambaye ndio yeye zinakuja mechi muhimu za kufanya maamuzi anakosa nafasi za wazi na mnataka tusimlaumu eti kisa tu alifunga goli 15 msimu uliopita goli ambazo hata sarpong angekuwa simba kwa msimu uliopita angezifikisha bila wasiwasi achilia mbali Kagere (Terminator) ambaye nina uhakika angepata nafasi angepiga 20+ na kuchukua kiatu bila shaka yoyotee

Kuendelea kumtumia Mugalu kama striker namba moja msimu huu ni kujifelisha kama timu na kwakuwa mwaka huu hatuna Chama na Luis waliokuwa na uwezo mkubwa wa kufunga na kutengeneza nafasi sio muda kila mtu ataona namna Mugalu atakavyokuwa anatucost kupoteza points TPL kwa uzembe wake na hata klabu bingwa tusitegemee lolote la maana toka kwake
 
Back
Top Bottom