anapata nafas yeye kwa sababu anatengenezewa na wenzake mwisho mpra unamkuta yeye na si rahisi sana timu zikafanana kila ktu mfano pasi kona offiside shot on taget au off taget kuna moja inazd inategemea na wachezaji na mfumo na ubora wa mchezaj mmoja mmoja ,kwa tanzania simba karibu mechi nying ikicheza
Wao wanakua wana uwezo wa kutengeneza nafas nying kuliko wengine ata ukiangalia ligi iliyopita wamefunga magoli mengi ,wametengeneza nafas nyng ,ukiulza kwann wachezaji wa timu nyngne hawakufunga magoli kuzd 15 ,je hao wachezaj wengine timu zao zina watengenezaj wazur kama waliokua simba ,kuna timu alitoa pasi za magol bora ana asist nne au sita wakat simba kuna wachezaj wawil ambao kila mmoja anaasist zaid ya 10 ,mugalu tumpe sio na wachezaji kutoka timu nyngne tumpime kwa timu yake je nafas anazopata na magol anayofunga ni sawa na je kila cku utacheza ukitegemea upate nafas tano au zaid ndio ufunge na pia kwan kuna ubaya gan kufunga magoli zaid ya anayofunga kwa sababu nafas si anapata