Ni Ally Kamwe na Privadinho

Ni Ally Kamwe na Privadinho

canfi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,368
Reaction score
1,477
Hongera zao
20220927_211326.jpg
 
Hatimae privaldinyo amepata alichokuwa anakitafuta mda mrefu
 
Sio hao tu , na C.E.O Mzee....!
Huyu C.E.O Mzee anazo Sifa Zingine Ila Nawaachia Wengine Waziongeze.... !

Utopolo mna Mambo..! Kisa cha Kutuletea Wastaafu..? Kashapigwa Na Maisha huko ...kwenu ndo aje Kupata Pensheni?
 
Sio hao tu , na C.E.O Mzee....!
Huyu C.E.O Mzee anazo Sifa Zingine Ila Nawaachia Wengine Waziongeze.... !

Utopolo mna Mambo..! Kisa cha Kutuletea Wastaafu..? Kashapigwa Na Maisha huko ...kwenu ndo aje Kupata Pensheni?
Uzuri wazee wenzake wapo onyango+boko
 
Sio hao tu , na C.E.O Mzee....!
Huyu C.E.O Mzee anazo Sifa Zingine Ila Nawaachia Wengine Waziongeze.... !

Utopolo mna Mambo..! Kisa cha Kutuletea Wastaafu..? Kashapigwa Na Maisha huko ...kwenu ndo aje Kupata Pensheni?
[emoji23][emoji23][emoji23] mungu akiamua kukuinua anakuinua tu mzee haijalishi una miaka mingapi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hongera.angalau sasa kuwa msemaji mwenye kujitambua.
Klabu ni taasisi haiwezi kuwa na mwajiriwa ambae anagombana na kila mtu.
 
Sio hao tu , na C.E.O Mzee....!
Huyu C.E.O Mzee anazo Sifa Zingine Ila Nawaachia Wengine Waziongeze.... !

Utopolo mna Mambo..! Kisa cha Kutuletea Wastaafu..? Kashapigwa Na Maisha huko ...kwenu ndo aje Kupata Pensheni?
Mbumbumbu mnashida sana yaani akili zenu zipo matakoni kabisa ndy nini umeandika hiki?
 
Back
Top Bottom