Ni ama Bashiru Ally amepotoka au hajui CCM kiundani

Hata TL atarudi CCM

Tumia macho ya kiroho sio ya kibinadamu[emoji3]

Tungejua kama EL pandikizi tusinge deki barabara....



Unamsema EL pandikizi lenu CCM??? Sikiliza wewe mataga!! Hii ni 2020! Jiandaeni tu kukabidhi nchi kwa amani kwa Tundu Antiphas Lissu!
 
Yes, Magustinho atapuuziliwa mbali after October, atakuwa ile wazungu Wanasema lame president, na hivi mshamba!
 
Ivi wewe Magufuli, inamaana watu wa Bunda wao hawachangii chochote kwa pato la Taifa??

Nakama wanachangia kwanini unawatenga sababu ni wanaongozwa na Upinzani??




Yaan Tunaongozwa na Jitu lina roho mbaya ,chuki na visasi ndo vimelijaa.
🤔🤔🤔
🚶🚶🚶🏃🏃🏃
 
Mark my words! Magufuli is one term president. Na mwisho wake ni October 28. Baada ya matokeo atakuwa kwenye hali ya kutakiwa kukabidhi madaraka!
Mkuu wewe ni nabii? Kama siyo nini kinakupa assurance kiasi hiki?

Ni kweli Lisu anakubalika lkn vipi kuhusu NEC na dola?
 
When you are the incumbent seeking re-election you don’t run on new promises, but run on your past record” Politics 121.

Meko has nothing to present so far.
 
Mkuu britanicca umechemka, raisi ajaye Ni tundu
 
Ninashangaa sana political scientist mzima anaposhindwa kubaini kuwa Kigwangala alikuwa anatafuta kura za wanna Simba! 🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…