Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Unamsema EL pandikizi lenu CCM??? Sikiliza wewe mataga!! Hii ni 2020! Jiandaeni tu kukabidhi nchi kwa amani kwa Tundu Antiphas Lissu!sawa mkuu...
Bado EL alitisha sana... huyu maandalizi F
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamsema EL pandikizi lenu CCM??? Sikiliza wewe mataga!! Hii ni 2020! Jiandaeni tu kukabidhi nchi kwa amani kwa Tundu Antiphas Lissu!sawa mkuu...
Bado EL alitisha sana... huyu maandalizi F
Ndio mko hivi View attachment 1561043
Unamsema EL pandikizi lenu CCM??? Sikiliza wewe mataga!! Hii ni 2020! Jiandaeni tu kukabidhi nchi kwa amani kwa Tundu Antiphas Lissu!
Tulia wewe mbuzi Rais wako from now ni huyu hapayes sir.....
inakuumiza?
Mwambie kima huyo Rais wake ni huyuUnamsema EL pandikizi lenu CCM??? Sikiliza wewe mataga!! Hii ni 2020! Jiandaeni tu kukabidhi nchi kwa amani kwa Tundu Antiphas Lissu!
Hii picha nimeikubali sana!!!Mwambie kima huyo Rais wake ni huyu View attachment 1561097
Tulia wewe mbuzi Rais wako from now ni huyu hapaView attachment 1561095
Yes, Magustinho atapuuziliwa mbali after October, atakuwa ile wazungu Wanasema lame president, na hivi mshamba!Kwa wale ambao tumebahatika kuijua CCM kwa undani, Makali ya Magufuli yataisha mara tu baada ya Kuapishwa kuwa rais 2020/2026.
Nimemuona Bashiru Twitter akiwaonya Nape na Kigwangala kwa Mambo Binafsi,
Nahisi Bashiru ama ni mshamba mmoja ambaye hajui matumizi ya twitter ama anajitoa ufahamu
Katibu Mkuu kasahau kwamba Mara tu baada ya Uchaguzi Mkuu (kipindi Cha kwanza Cha Urais kinapoisha)tunapoenda kipindi Cha Pili basi uchaguzi huo unapoisha ,
Wanasiasa huanza MARA MOJA kupanga safu ya Urais wa Awamu unayofuata.Hapo tayari na 'kambi/Mtandao wa fulani' zimeshaanza kuandaliwa kichinichini; ndo maana watu Kama kina Nape wanaanza kujipitisha huku&Kule kutengeneza 'upepo' wa fulani' ama kujitengenezea mazingira wao wenyewe kwa Ajili ya Urais wa Awamu ya6!
Anachemka akudhan atawapangia kina Nape Nnauye cha Kufanya
na kuwalazimisha kutoendelea na kampeni kwa ratiba zao, eti wanapaswa wasimame na rais,
Britannica
🤔🤔🤔Ivi wewe Magufuli, inamaana watu wa Bunda wao hawachangii chochote kwa pato la Taifa??
Nakama wanachangia kwanini unawatenga sababu ni wanaongozwa na Upinzani??
Yaan Tunaongozwa na Jitu lina roho mbaya ,chuki na visasi ndo vimelijaa.
Mkuu wewe ni nabii? Kama siyo nini kinakupa assurance kiasi hiki?Mark my words! Magufuli is one term president. Na mwisho wake ni October 28. Baada ya matokeo atakuwa kwenye hali ya kutakiwa kukabidhi madaraka!
Inafurahisha kuota mchana 🤣🤣🤣🤣🥰Mark my words! Magufuli is one term president. Na mwisho wake ni October 28. Baada ya matokeo atakuwa kwenye hali ya kutakiwa kukabidhi madaraka!
Tulia wewee egg laying mamal. Rais wako ni Lissu. PERIOD!
Tulia wewee egg laying mamal. Rais wako ni Lissu. PERIOD!
Mkuu wewe ni nabii? Kama siyo nini kinakupa assurance kiasi hiki?
Ni kweli Lisu anakubalika lkn vipi kuhusu NEC na dola?
View attachment 1561123
Tukutane October. Ukiona hadi bashiru anatoa maelekezo shtukaaaa!!!Inafurahisha kuota mchana 🤣🤣🤣🤣🥰
When you are the incumbent seeking re-election you don’t run on new promises, but run on your past record” Politics 121.Kwa wale ambao tumebahatika kuijua CCM kwa undani, Makali ya Magufuli yataisha mara tu baada ya Kuapishwa kuwa rais 2020/2026.
Nimemuona Bashiru Twitter akiwaonya Nape na Kigwangala kwa Mambo Binafsi,
Nahisi Bashiru ama ni mshamba mmoja ambaye hajui matumizi ya twitter ama anajitoa ufahamu
Katibu Mkuu kasahau kwamba Mara tu baada ya Uchaguzi Mkuu (kipindi Cha kwanza Cha Urais kinapoisha)tunapoenda kipindi Cha Pili basi uchaguzi huo unapoisha ,
Wanasiasa huanza MARA MOJA kupanga safu ya Urais wa Awamu unayofuata.Hapo tayari na 'kambi/Mtandao wa fulani' zimeshaanza kuandaliwa kichinichini; ndo maana watu Kama kina Nape wanaanza kujipitisha huku&Kule kutengeneza 'upepo' wa fulani' ama kujitengenezea mazingira wao wenyewe kwa Ajili ya Urais wa Awamu ya6!
Anachemka akudhan atawapangia kina Nape Nnauye cha Kufanya
na kuwalazimisha kutoendelea na kampeni kwa ratiba zao, eti wanapaswa wasimame na rais,
Britannica
Kwa jina la YESU ashindweMagufuli sio raisi 2020 - 2025. Mark my words
Mkuu britanicca umechemka, raisi ajaye Ni tunduKwa wale ambao tumebahatika kuijua CCM kwa undani, Makali ya Magufuli yataisha mara tu baada ya Kuapishwa kuwa rais 2020/2026.
Nimemuona Bashiru Twitter akiwaonya Nape na Kigwangala kwa Mambo Binafsi,
Nahisi Bashiru ama ni mshamba mmoja ambaye hajui matumizi ya twitter ama anajitoa ufahamu
Katibu Mkuu kasahau kwamba Mara tu baada ya Uchaguzi Mkuu (kipindi Cha kwanza Cha Urais kinapoisha)tunapoenda kipindi Cha Pili basi uchaguzi huo unapoisha ,
Wanasiasa huanza MARA MOJA kupanga safu ya Urais wa Awamu unayofuata.Hapo tayari na 'kambi/Mtandao wa fulani' zimeshaanza kuandaliwa kichinichini; ndo maana watu Kama kina Nape wanaanza kujipitisha huku&Kule kutengeneza 'upepo' wa fulani' ama kujitengenezea mazingira wao wenyewe kwa Ajili ya Urais wa Awamu ya6!
Anachemka akudhan atawapangia kina Nape Nnauye cha Kufanya
na kuwalazimisha kutoendelea na kampeni kwa ratiba zao, eti wanapaswa wasimame na rais,
Britannica
Amina kwa Jina la YesuKwa jina la YESU ashindwe