Ni ama Bashiru Ally amepotoka au hajui CCM kiundani

Tate Mkuu ni nini lakini๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜ฅ
Si nilishakuomba uniache japo siku hizi 21 tuu๐Ÿ’”๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ˜ญ
Am sorry my dear! Jana wakati naangalia tukio la mazishi, nilimuona mdada wa watu ana huzuni tele eneo la tukio kama ilivyokuwa kwa Comrade Polepole! Hivyo niliguswa sana na kwa akili zangu za kibinadamu, nikahisi utakuwa ni wewe eti! ๐Ÿ˜‡
 
Am sorry my dear! Jana wakati naangalia tukio la mazishi, nilimuona mdada wa watu ana huzuni tele eneo la tukio kama ilivyokuwa kwa Comrade Polepole! Hivyo niliguswa sana na kwa akili zangu za kibinadamu, nikahisi utakuwa ni wewe eti! ๐Ÿ˜‡
Itakua ni mimi huyo! Kifo kinauma askuambie mtu
 
Hivi wewe Magufuli, inamaana watu wa Bunda wao hawachangii chochote kwa pato la Taifa??

Nakama wanachangia kwanini unawatenga sababu ni wanaongozwa na Upinzani??




Yaani Tunaongozwa na Jitu lina roho mbaya ,chuki na visasi ndo vimelijaa.
Dah
 
Hivi wewe Magufuli, inamaana watu wa Bunda wao hawachangii chochote kwa pato la Taifa??

Nakama wanachangia kwanini unawatenga sababu ni wanaongozwa na Upinzani??




Yaani Tunaongozwa na Jitu lina roho mbaya ,chuki na visasi ndo vimelijaa.
Mungu alisikia kilio chako mkuu
 
Her brittanic majesty anaumwa ugonjwa unaitwa grandfathering. Anadhani anajua jambo, kumbe baba yake anajua zaidi. Anayoyasemz anayajua yeye kama yeye, ni sawa kwake, lakini kumbe ukweli hajui ajuaye ni babu.
 
Tupo chimbo tunajiandaa kupokea kijiti kwa Sa100
 
Hivi wewe Magufuli, inamaana watu wa Bunda wao hawachangii chochote kwa pato la Taifa??

Nakama wanachangia kwanini unawatenga sababu ni wanaongozwa na Upinzani??




Yaani Tunaongozwa na Jitu lina roho mbaya ,chuki na visasi ndo vimelijaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ