Ni ama Bashiru Ally amepotoka au hajui CCM kiundani

Ni ama Bashiru Ally amepotoka au hajui CCM kiundani

Tate Mkuu ni nini lakini😥😥😥😥😥
Si nilishakuomba uniache japo siku hizi 21 tuu💔🇹🇿😭
Am sorry my dear! Jana wakati naangalia tukio la mazishi, nilimuona mdada wa watu ana huzuni tele eneo la tukio kama ilivyokuwa kwa Comrade Polepole! Hivyo niliguswa sana na kwa akili zangu za kibinadamu, nikahisi utakuwa ni wewe eti! 😇
 
Am sorry my dear! Jana wakati naangalia tukio la mazishi, nilimuona mdada wa watu ana huzuni tele eneo la tukio kama ilivyokuwa kwa Comrade Polepole! Hivyo niliguswa sana na kwa akili zangu za kibinadamu, nikahisi utakuwa ni wewe eti! 😇
Itakua ni mimi huyo! Kifo kinauma askuambie mtu
 
Hivi wewe Magufuli, inamaana watu wa Bunda wao hawachangii chochote kwa pato la Taifa??

Nakama wanachangia kwanini unawatenga sababu ni wanaongozwa na Upinzani??




Yaani Tunaongozwa na Jitu lina roho mbaya ,chuki na visasi ndo vimelijaa.
Dah
 
Hivi wewe Magufuli, inamaana watu wa Bunda wao hawachangii chochote kwa pato la Taifa??

Nakama wanachangia kwanini unawatenga sababu ni wanaongozwa na Upinzani??




Yaani Tunaongozwa na Jitu lina roho mbaya ,chuki na visasi ndo vimelijaa.
Mungu alisikia kilio chako mkuu
 
Kwa wale ambao tumebahatika kuijua CCM kwa undani, Makali ya Magufuli yataisha mara tu baada ya Kuapishwa kuwa rais 2020/2026.

Nimemuona Bashiru Twitter akiwaonya Nape na Kigwangala kwa Mambo Binafsi,

Nahisi Bashiru ama ni mshamba mmoja ambaye hajui matumizi ya twitter ama anajitoa ufahamu

Katibu Mkuu kasahau kwamba Mara tu baada ya Uchaguzi Mkuu (kipindi Cha kwanza Cha Urais kinapoisha)tunapoenda kipindi Cha Pili basi uchaguzi huo unapoisha.

Wanasiasa huanza MARA MOJA kupanga safu ya Urais wa Awamu unayofuata.Hapo tayari na 'kambi/Mtandao wa fulani' zimeshaanza kuandaliwa kichinichini; ndo maana watu Kama kina Nape wanaanza kujipitisha huku&Kule kutengeneza 'upepo' wa fulani' ama kujitengenezea mazingira wao wenyewe kwa Ajili ya Urais wa Awamu ya6!

Anachemka akudhan atawapangia kina Nape Nnauye cha Kufanya
na kuwalazimisha kutoendelea na kampeni kwa ratiba zao, eti wanapaswa wasimame na rais,

Britannica
Her brittanic majesty anaumwa ugonjwa unaitwa grandfathering. Anadhani anajua jambo, kumbe baba yake anajua zaidi. Anayoyasemz anayajua yeye kama yeye, ni sawa kwake, lakini kumbe ukweli hajui ajuaye ni babu.
 
Kwa wale ambao tumebahatika kuijua CCM kwa undani, Makali ya Magufuli yataisha mara tu baada ya Kuapishwa kuwa rais 2020/2026.

Nimemuona Bashiru Twitter akiwaonya Nape na Kigwangala kwa Mambo Binafsi,

Nahisi Bashiru ama ni mshamba mmoja ambaye hajui matumizi ya twitter ama anajitoa ufahamu

Katibu Mkuu kasahau kwamba Mara tu baada ya Uchaguzi Mkuu (kipindi Cha kwanza Cha Urais kinapoisha)tunapoenda kipindi Cha Pili basi uchaguzi huo unapoisha.

Wanasiasa huanza MARA MOJA kupanga safu ya Urais wa Awamu unayofuata.Hapo tayari na 'kambi/Mtandao wa fulani' zimeshaanza kuandaliwa kichinichini; ndo maana watu Kama kina Nape wanaanza kujipitisha huku&Kule kutengeneza 'upepo' wa fulani' ama kujitengenezea mazingira wao wenyewe kwa Ajili ya Urais wa Awamu ya6!

Anachemka akudhan atawapangia kina Nape Nnauye cha Kufanya
na kuwalazimisha kutoendelea na kampeni kwa ratiba zao, eti wanapaswa wasimame na rais,

Britannica
Tupo chimbo tunajiandaa kupokea kijiti kwa Sa100
 
Hivi wewe Magufuli, inamaana watu wa Bunda wao hawachangii chochote kwa pato la Taifa??

Nakama wanachangia kwanini unawatenga sababu ni wanaongozwa na Upinzani??




Yaani Tunaongozwa na Jitu lina roho mbaya ,chuki na visasi ndo vimelijaa.
 
Back
Top Bottom