Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 6,696
- 6,734
Sio November tuone nani atakuwa anauguza majeraha?Tukutane October. Ukiona hadi bashiru anatoa maelekezo shtukaaaa!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio November tuone nani atakuwa anauguza majeraha?Tukutane October. Ukiona hadi bashiru anatoa maelekezo shtukaaaa!!!
Lord denning , uli sisitiza "mark my words"Mark my words! Magufuli is one term president. Na mwisho wake ni October 28. Baada ya matokeo atakuwa kwenye hali ya kutakiwa kukabidhi madaraka!
KheeMagufuli sio raisi 2020 - 2025. Mark my words
Duh we jamaa weweMagufuli sio raisi 2020 - 2025. Mark my words
Bashiru ni mtu hatari snUmenikumbusha uchaguzi ambao tuliona waliobeba mabegi yaliyo jaa
Comes trueMagufuli sio raisi 2020 - 2025. Mark my words
Kwamba tuunganishe dot tu!Mark my words! Magufuli is one term president. Na mwisho wake ni October 28. Baada ya matokeo atakuwa kwenye hali ya kutakiwa kukabidhi madaraka!
Bado huamini?nime screenshot comment yako...
Nasubiri na utakayoandika "tumeibiwa kura"
Nimemuona Comrade Humphrey Polepole! Hakika alijawa na huzuni tele moyoni. Kuna muda kama nilimuona rafiki yangu mama D vile! 🙄 Naye alikuwa na huzuni tele usoni.CCM inarudi kwa wenyewe wahamiaji haramu basi tena
Akafie mbaliNimemuona Comrade Humphrey Polepole! Hakika alijawa na huzuni tele moyoni. Kuna muda kama nilimuona rafiki yangu mama D vile! 🙄 Naye alikuwa na huzuni tele usoni.
Poleni sana kwa msiba huu mzito wa mpendwa wetu.
Bado huamini?
Bado huamini?
Tate Mkuu ni nini lakini😥😥😥😥😥Nimemuona Comrade Humphrey Polepole! Hakika alijawa na huzuni tele moyoni. Kuna muda kama nilimuona rafiki yangu mama D vile! 🙄 Naye alikuwa na huzuni tele usoni.
Poleni sana kwa msiba huu mzito wa mpendwa wetu.
Magufuli sio raisi 2020 - 2025. Mark my words
Hizi akili mbovu za akina Themagufulianz ndizo zimetawala kwa Watanzania wengi wapumbavu. Yaanineti anakngelea nyomi ya msiba. Huo ni ufinyu wa mawazoUmeliona nyomi la msiba?
Ukiwa na roho ya kishetani lazima likuboe
Hizi akili mbovu za akina Themagufulianz ndizo zimetawala kwa Watanzania wengi wapumbavu. Yaanineti anakngelea nyomi ya msiba. Huo ni ufinyu wa mawazo