Ni application gani nzuri kwa kufanya phone trucking?

Ni application gani nzuri kwa kufanya phone trucking?

Hapo sidhani kama itawezekana labda kama kuna wataalamu wa kutrack nokia za tochi waje hapa kutujuza
Hiyo inawezekana, nazani unajua, ukiwa na nokia tochi ukipita mtaa, flani inasoma kuwa hupo sehemu flani then uki move inasoma tena new location via communication tower. Hivyo ku trace inawezakana. Sema kupata access ya communication service provider (CSP) ndo shida. ila kama CSP ikitakakuku track inawezekana.
 
Hiyo inawezekana, nazani unajua, ukiwa na nokia tochi ukipita mtaa, flani inasoma kuwa hupo sehemu flani then uki move inasoma tena new location via communication tower. Hivyo ku trace inawezakana. Sema kupata access ya communication service provider (CSP) ndo shida. ila kama CSP ikitakakuku track inawezekana.
kama ni kwa njia ya minara hapo sawa hata majambazi/watekaji huwa wanakamatwa na polisi kwahiyo style sasa jamaa anataka app ndio maana nikasema sidhani kama hiyo app ipo.
 
  • Thanks
Reactions: GTA
Habari za mchana Wandugu wa JF, nina jamaa yangu anahisi simu yake kuna mtu anamfanyia tracking, hivi unaweza kujua kama simu yako mtu anakufanyia tracking? Kama ndivyo unafanyaje?
 
Habari za mchana Wandugu wa JF, nina jamaa yangu anahisi simu yake kuna mtu anamfanyia tracking, hivi unaweza kujua kama simu yako mtu anakufanyia tracking? Kama ndivyo unafanyaje?
mwambie aifanyie factory restore, na huo mchezo mchafu hatofanyiwa tena!
 
Kuna namba ya simu nataka kuitrack nijue yuko wapi ila nashidwa kila app ninayo download playstore inasumbua.

Hebu nisaidie katika hili mnaofahamu ku track simu.
mkuu, achana na izo app ni scams zote, baadhi ni 'adwares' na baadhi ni 'rootkits' , kiuweli anaeweza ku track simu(yenye line) ni network provider tu, tena na yeye anatumia 'triangulation' kupata location husika

kuna apps ambazo zinaweza ila lazima UINSTALL kwa simu husika...izi apps kuna za gps based na gsm based..
 
mkuu, achana na izo app ni scams zote, baadhi ni 'adwares' na baadhi ni 'rootkits' , kiuweli anaeweza ku track simu(yenye line) ni network provider tu, tena na yeye anatumia 'triangulation' kupata location husika

kuna apps ambazo zinaweza ila lazima UINSTALL kwa simu husika...izi apps kuna za gps based na gsm based..
Nakubaliana nawe
 
Habari za mchana Wandugu wa JF, nina jamaa yangu anahisi simu yake kuna mtu anamfanyia tracking, hivi unaweza kujua kama simu yako mtu anakufanyia tracking? Kama ndivyo unafanyaje?
ujue apps nying znazofany kaz ya kuiba taarifa kwenye cm ya m2 huwa huwez kuziona km hujui namn y kuifnyia comand ili kuiset n ht kwnye list ya app manager huw znakuw n majina n icon co z kwake ,mfano moja nnayo inaitwa MTF lkn kwny app manager inajiita wi-fi n alama yke n ile ya wifi sasa kuzbaini n kuunistall angalia device administrators utaiona n uidiactivate kwnza nd utakuw n uwezo w kuiondoa sawa
 
Tumia hii inaitwa tusker.apk ipo playstore wanaiuza lkn kama 7000tzsh......hii itakusaidia ku track hiyo number kwa urahisi zaidi bila hata ya mlengwa kuwasha location yke...hii app automatically inauwezo w kuditect location y mlengwa bila ya yy mwenyewe kujua.....jinsi y kuitumia utaingiza number y mlengwa kweny hiyo app kisha uta i beep na kukata.....kuna code utatumiwa via sms eg 728.527.627.271 utaicopy hii code kisha utaenda kuisearch via google map app...Itakupa exacty location ya hiyo number
 
Tumia hii inaitwa tusker.apk ipo playstore wanaiuza lkn kama 7000tzsh......hii itakusaidia ku track hiyo number kwa urahisi zaidi bila hata ya mlengwa kuwasha location yke...hii app automatically inauwezo w kuditect location y mlengwa bila ya yy mwenyewe kujua.....jinsi y kuitumia utaingiza number y mlengwa kweny hiyo app kisha uta i beep na kukata.....kuna code utatumiwa via sms eg 728.527.627.271 utaicopy hii code kisha utaenda kuisearch via google map app...Itakupa exacty location ya hiyo number
soma vizuri na kwa kina maelezo ya iyo app mkuu, ni LAZIMA uinstall iyo Tasker app kwa mlengwa!
 
Back
Top Bottom