Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Kuanzisha leo mimi na wewe ni marafiki wa kudumu.Mbona hujawahi kuniuliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzisha leo mimi na wewe ni marafiki wa kudumu.Mbona hujawahi kuniuliza.
Amen.Kuanzisha leo mimi na wewe ni marafiki wa kudumu.
[emoji3] [emoji3] Hapana siwezi kukukorofisha.Amen.
Ila Mimi usiwe unanikorofisha.
Haya[emoji3] [emoji3] Hapana siwezi kukukorofisha.
Haya
Mchana mwema.Sawa baadaye rafiki yangu.
Mmh labdaSio Yeye.
Kuna kitu kinamfanya awe hivyo.
Bifu lako kwangu ni takatifu wala siogopi u know
Wangu... Halafu chocolate sikuhizi ina rangi hiyo?Huo mguu wenye chocolate colour ni wako?
Mi ndo naona hivoWangu... Halafu chocolate sikuhizi ina rangi hiyo?
Mi ndo naona hivo
Au ule usemi wa kisayansi all men are colour blindness uko sahihi
Sijakimbia mtumishi nipoNzuri,za kunikimbia??
HahahahaaaComrade.
Salaam zangu zikufikie hapo ikulu.
Wasalimie pia wakezo.
Sijamaliza,
I will be back!
Inawezekana maana walikuwa wanalea vichanga...mi kazi yangu ni kufyatua tu so huwezi kuwaona kila marandio nawaona leo hao
😊😊😊