comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
aseeee!
pamoja wengi avatar sio zao, lakini mtu inakua ukiiona tuu unapagawa yani unaona kama labda anafanania vile, kumbe ukute ni furushi tuu halina mpango, ipi kwako inakuvutia na kukupa mtekenyo wa ndani na mshawasha zaidi??
mimi hii hapa
pamoja wengi avatar sio zao, lakini mtu inakua ukiiona tuu unapagawa yani unaona kama labda anafanania vile, kumbe ukute ni furushi tuu halina mpango, ipi kwako inakuvutia na kukupa mtekenyo wa ndani na mshawasha zaidi??
mimi hii hapa