Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Wana chura?
Joanah na Khantwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joanah na Khantwe
aseeee!
pamoja wengi avatar sio zao, lakini mtu inakua ukiiona tuu unapagawa yani unaona kama labda anafanania vile, kumbe ukute ni furushi tuu halina mpango, ipi kwako inakuvutia na kukupa mtekenyo wa ndani na mshawasha zaidi??
mimi hii hapa
View attachment 1208916
Miss natafuta
hawezi kukuacha kisa sababu ya kitoto ivyo unless hakukupenda tuUnanijua nje ndani? 😳 😳 wengine tuna wachumba humu utasababisha tuachwe
ausiouyo ni agata Edward mwenyewe kabisa namjua nje ndani
whyI can't afford any girl.. Not only Becky
yupo vizuri kiainaIla mkuu uko vzuri uongo dhambi.. Ila hujazidi urembo pombe Zangu that's why nazipenda
sana, namshangaa sana mtoa madamada za watoto.
anajiona mzeeMda mwingine ni bora ukasikiliza watoto ujue ufahamu wao. Kipi bora watoto au wanasiasa?
zile za kisoudy brownUnataka tukachangie zile Mada zako za kishangingi
zama kunako PMKuna Avatars kama 4 za ke zinanikodolesha macho sana.
Ipo siku nitazizamia pm pale uvumilivu utakaponishibda.
Da vinci bhana 😅😅No.. I can't afford her!
huyu bwege ana zali sana, madem wanamkubali sana aseee