Ni awamu hii tu ya uongozi ambapo hata Diamond anazindua miradi

Ni awamu hii tu ya uongozi ambapo hata Diamond anazindua miradi

Nibozali

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
572
Reaction score
1,055
Jana Diamond alionekana akizindua mradi. Nilishikwa nabutwaa kwani ni awamu hii tu ambapo hadi wasanii wanaenda kuzindua miradi kwa kuta utepe.

diamond45.png

 
Kapicha kidogo kukazia uthibitisho wa kauli hiyo.[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]
 
Chuki tu wewe huna lolote la maana. Yaani Diamond unamuna kama sijui kitu gani cha ajabu. Eti hata Diamond' ulitaka awe nani labda?
 
Bora awamu hii, angeshinda yule mwingne hiyo miradi ingekuja zinduliwa na wauza unga, wazinzi, majambazi na washenzi wote unaowajua wewe!
Watu mnajua kujisahaulisha wauza ngada wote walio tajwa ni wafuasi wazuri sana wa chama ila mnajifanya wwehu mnahamisha tuhuma kwa wasio na tuhuma aisee vijana wenzangu UVCCM kweli mlinyimwa akili na maarifa ndio maana mazao yenu yana score zero kwa kila jambo.
 
Chuki tu wewe huna lolote la maana. Yaani Diamond unamuna kama sijui kitu gani cha ajabu. Eti hata Diamond' ulitaka awe nani labda?
Jamani mbona mnahamaki hamjui leo ni fools day. Kama umenaswa pole
 
Bora awamu hii, angeshinda yule mwingne hiyo miradi ingekuja zinduliwa na wauza unga, wazinzi, majambazi na washenzi wote unaowajua wewe!
Bwahaha mbavu zangu walahi!
 
Back
Top Bottom