Savior ruther
Member
- Oct 15, 2017
- 14
- 12
Naomba kuuliza virus vya UKIMWI huoneka baada ya mda gani kwenye vipimo vya hospital baada ya mtu kuambukizwa.??
Au ni mda wowote hata baada ya sex na mwenye + kama umekupata unaweza kupima na ikaonekana umeshakuwa muathirika.?
Au ni mda wowote hata baada ya sex na mwenye + kama umekupata unaweza kupima na ikaonekana umeshakuwa muathirika.?