Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajifanya wa Oysterbay ati.. Mie nakumbuka niligumiana nae mitaa ya Tandale kwa mtogolo kitambo huyu[emoji2][emoji2]Buji kwao Mbeya hukoooo
Mi wa Oystebay
Mkuu hiyo clip unayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahahah, Mzee Stefano Wasira ndie alimpiga Mwandishi wa habari, alipomuhoji "eti wanasema wewe ni swahiba wa Agustino Lyatonga Mrema..."
Mzee Wasira akajitetea kuwa alidhani neno swahiba, kuwa Mrema ana...... (tigo yake)
hapana, sinaMkuu hiyo clip unayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mpuuzi mpuuzi tu
kuanza kula kachori, juice ya pweza na kula pweza, sehemu ya kutembea unaita boda boda nkUkianza haya...
-kunywa maji mengi
-kushindia kiepe
-soda ya jero umalizi
-kunywa juice ya miwa
-kunywa urojo
-kuvaa visuruali vya dada zako
Nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu mpaka wadada wapo busy na pweza..kuanza kula kachori, juice ya pweza na kula pweza, sehemu ya kutembea unaita boda boda nk
Anamaanisha kujichubua kama Ray Kigosi.Sasa wewe usinywe maji mengi alafu uone kitakachokupata kama ujawekewa na mipira
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama unapenda ubuyu
Hahaha
[emoji23][emoji23]Akianza tu kuulizia wapi atapata vumbi la Congo!