Ni baadhi tu ya tafiti za kimawazo!

&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Na hapo ndio wanaona mtaji wao ulipo wakiamini ni salama
inasikitisha sana!
Hawa ni watoto, wanadanganyika, na ukizingatia kwamba kwa tabia za familia zetu, wazazi hawaongei na watoto wao kuhusu sex, na shule zetu hizi za square root hakuna walimu wa SRH au makuzi.
Balaa hili!
 


Hio dhana hapo juu huwaponza watu wengi... Mwingine anahisi tu kaukwaa (pengine waweza kuta bado) anatembea peku peku kuambukiza kumbe ndo anajimaliza... na mwingine kweli kaukwa... but ufinyu wa mawazo au lack of knowledge inamfanya aende kuongeza kasi ya vidudu kukutanisha na vingine....
 
Honestly, kijijini kwa mzee wangu, hakuna duka linalouza condom, not one i know of, including duka la ndugu yangu.
Reason ni imani ya dini, lakini deep down unaona kuwa ni unafiki coz watu wanatumbuana vibaya vibaya! Na ukifikiri wanatumia condoms jibu ni hapana, watazitoa wapi?
Kiashiria cha wazi ni mimba zisizotarajiwa mitaani!
Mimba inaonekana, ngoma je? Mimi ninahesabu tu miaka, najua kikiffumuka siku, kijiji kitakatika zaidi ya nusu.
 
unakuta mtu imewahi kutokea condom ikapasuka, eitha akajua na kubadili, au akajua na akaamua kujilipua kwa kumalizia.
Sasa issue ni kwamba, anaanza kujihisi labda atakuwa amepata ngoma, hapimi, akikutana na mwanamke mwingine, anaanza kufikiri aaaahhh! Kwanza naweza nikawa nao, anakwenda mtelezo....damn! Kumbe ndo anaupata sasa.
 
11. Kutojiamini na kufanya maamuzi, haswa wanawakke, kwa nn usimwambie huyo mwanaume avae

12. Kumwamini patner kupita kiasi hata kama ndo mnakutana mara ya 1,unajirizisha kwa macho unagonga kavu
 
hapo kwenye red mkuu napata shida kidogo kuamini, mie nimewahi kuijaza maji ile inaingia karibuni lita 10!!!??? hapo ni hisia tuu, ukishahisi unabanwa kweli utabamwa.
 
yaani kwa hilo tu ungekuwa karibu ningesha kupa kale ka kitu kanachitwaga busu
asnte sana, na kiukweli kwa style hii tutakwisha
 

Exactly.... alafu hapo in red... naamini kwa yeyote yule ikipasuka... woote watachukua uamuzi mmoja... kwamba ataairisha?? mmmh!
 
yaani kwa hilo tu ungekuwa karibu ningesha kupa kale ka kitu kanachitwaga busu
asnte sana, na kiukweli kwa style hii tutakwisha


FB Worry not... mpaka hapo... limenifikia....
 
Exactly.... alafu hapo in red... naamini kwa yeyote yule ikipasuka... woote watachukua uamuzi mmoja... kwamba ataairisha?? mmmh!
sasa issue ni hivi, lazima at least mmoja awe ngangari kuhakikisha tahadhari inachukuliwa.
Kimbembe ni pale kdume kinapojifanya ndo kiachochea kwa bidii wakati huo huo, binti naye ndo anakata huku akibana na kuachia kama stop engine ya fusso huku akijua sleeve ya clutch ishatema.

wote wanajua, na hakuna anaye-take action ya kustop, ndo wanachocheana kama engine ya locomotive ya jicho moja.
 
11. Kutojiamini na kufanya maamuzi, haswa wanawakke, kwa nn usimwambie huyo mwanaume avae

12. Kumwamini patner kupita kiasi hata kama ndo mnakutana mara ya 1,unajirizisha kwa macho unagonga kavu

hapo no.12https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon14.png
 
yaani kitu kikaribie climax hafu muanze tena mwanzo? wachache mno wanaoweza kuhimili huo mkasa!
by the way kuna yale maneno huwa tunatumia kujifariji nayo kuwa kwa muda mfupi huwezi kupata!
 


Dah! No comment....
 
Abstainance is the only solution for unmarried folks.
For the those in marriages, just stick to your one and only one partner.
Mengine hayo ni mizaha tu
 
Sherrif do you believe in this or just because it sounds good...

hapo sasa, haya mambo si marahisi marahisi kwa kutimizwa kupitia matendo kama kuyatamka kinywani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…