Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Honestly, kijijini kwa mzee wangu, hakuna duka linalouza condom, not one i know of, including duka la ndugu yangu.
Reason ni imani ya dini, lakini deep down unaona kuwa ni unafiki coz watu wanatumbuana vibaya vibaya! Na ukifikiri wanatumia condoms jibu ni hapana, watazitoa wapi?
Kiashiria cha wazi ni mimba zisizotarajiwa mitaani!
Mimba inaonekana, ngoma je? Mimi ninahesabu tu miaka, najua kikiffumuka siku, kijiji kitakatika zaidi ya nusu.
12. Hawataki kukitajirisha kiwanda cha condom.mia
Usipojiendekeza yanatekelezeka na kuwezekana bila mgogoro
<br />13. Wanadai kuvaa kondom ni ishara ya kutomwamini mwenzio, heh!
<br />
<br />
14. Eti hawaogopi ukimwi. Kwao ni kama mafua.
wengine tuna aleji na hii mipira ya kiume, labda watutengenezee mipira ya wavu.
hey!! nani kaandika hii, kweli sio mimi, kuna mtu hapa anachezea comp yangu
mei na hiyo mipira sina shughuri nayo naona inaniyayusha na naweza nikamuhemea demu hata lisaa lizima bila ku shot yaani inakata utamu wote,na demu akigoma ngozi kwa ngozi nakubali kughairisha match,kitu nyama kwa nyama raha iliyoje
Ni mawazo yako au kuna mtu kakuibia paswedi yako
ningekuwa moderator ningempiga ban, anajaribu kupotosha jamii.
15. Mwanaume rijali lazima ufe kwa ukimwi ili ujulikane kuwa ulitembeza rungu haswa, kufa kwa malaria ni aibu.
Kweli hawa ni mashujaa, duh!