Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CRDBNi bank gani hapa Tz
- Inakuwezesha kufungua USD Account isiyo na makato ya kila mwezi ( without monthly maintenance fees).
[*]Inatoa internet banking services kwa haraka bila kuwafuatafuata tawini.
Recommendations pls!
Sofa ndio nini sasa mbona heading haiendani na content.Ni bank gani hapa Tz
- Inakuwezesha kufungua USD Account isiyo na makato ya kila mwezi ( without monthly maintenance fees).
[*]Inatoa internet banking services kwa haraka bila kuwafuatafuata tawini.
Recommendations pls!
Just a typo and you know that. Na JF hawana option ya kuedit title. If you don't have anything valuable to add in this thread, just ignore & go where you belong. Jifunze adabu! Halafu sio somo ya ...., sahihi ni somo la ....Sofa ndio nini sasa mbona heading haiendani na content.
Jifunze somo ya muandiko kwanza kabla ya kuanzisha thread
Thanks ndugu✍️Kafungue Absa Ila wanakata dola tano kila mwezi na unafanya transactions zako zozote Hawa jamaa wako konki kwa banks zote Tanzania.
Yaani online transaction ni fasta na hela ukilipwa kwa kadi inaingia Kama dola zako zilivyo hakuna exchange rate difference cost.
Unaweza unapokea various currencies within one bank account.
Yaani Tena unatumiwa bure mkuu wao hawakati labda huko walikotuma
Sofa ndio nini sasa mbona heading haiendani na content.
Jifunze somo ya muandiko kwanza kabla ya kuanzisha thread
Thanks but I have bad experience with thisCRDB
ABSA ndio Bank inakufaa for a USD Account na Online Transactions. Nyingine zote Miyeyusho.Thanks but I have bad experience with this
Ahsante ndugu ✍️ABSA ndio Bank inakufaa for a USD Account na Online Transactions. Nyingine zote Miyeyusho.
Kama kuna bank ya hivi basi haifai kwa internet banking maana kutakuwa tu na hidden fees na makato hadi kuangalia salio na statement.Ni bank gani hapa Tz
- Inakuwezesha kufungua USD Account isiyo na makato ya kila mwezi ( without monthly maintenance fees).
- Inatoa internet banking services kwa haraka bila kuwafuatafuata tawini.
Recommendations pls!
Go with stanbic bankNi bank gani hapa Tz
- Inakuwezesha kufungua USD Account isiyo na makato ya kila mwezi ( without monthly maintenance fees).
- Inatoa internet banking services kwa haraka bila kuwafuatafuata tawini.
Recommendations pls!
Absa huwezi ukailinganisha na haya mapuuzi yetu hapa tanzania inabidi ieleweke Absa ni barclays iliyoamua kujirebrand kwa africa kutokana wale holders waliopo africaKafungue Absa Ila wanakata dola tano kila mwezi na unafanya transactions zako zozote Hawa jamaa wako konki kwa banks zote Tanzania.
Yaani online transaction ni fasta na hela ukilipwa kwa kadi inaingia Kama dola zako zilivyo hakuna exchange rate difference cost.
Unaweza unapokea various currencies within one bank account.
Yaani Tena unatumiwa bure mkuu wao hawakati labda huko walikotuma
Ni ABSA mkuuNi bank gani hapa Tz
- Inakuwezesha kufungua USD Account isiyo na makato ya kila mwezi ( without monthly maintenance fees).
- Inatoa internet banking services kwa haraka bila kuwafuatafuata tawini.
Recommendations pls!
Hapo hamna kituCRDB
1.AbsaNi bank gani hapa Tz
- Inakuwezesha kufungua USD Account isiyo na makato ya kila mwezi ( without monthly maintenance fees).
- Inatoa internet banking services kwa haraka bila kuwafuatafuata tawini.
Recommendations pls!