johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Watanzania tuachage Ujinga na mambo ya Itikadi Kwenye masuala muhimu ya kitaifa yahusuyo Maendeleo yetu
Nakumbuka mbwembwe za Ruto alipokutana na Biden akajimwambafy kuwa yeye ndiye Msemaji wa Africa Mashariki
Sisi Rais Samia ameenda kujumuika na viongozi wakuu 20 wa Dunia, Kwanini tusimshukuru Mungu kwa baraka hizi kubwa!
Soma Pia: Rais Samia aweka historia kwa Tanzania kualikwa kwa mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano wa G20
Watanzania tuachage unyonge wa kijamaa tulioachiwa na akina Kingunge, Sisi ni Taifa kubwa
Mungu wa mbinguni mbariki Mpendwa Wetu Mh Rais Samia
Mlale Unono 🌹
Nakumbuka mbwembwe za Ruto alipokutana na Biden akajimwambafy kuwa yeye ndiye Msemaji wa Africa Mashariki
Sisi Rais Samia ameenda kujumuika na viongozi wakuu 20 wa Dunia, Kwanini tusimshukuru Mungu kwa baraka hizi kubwa!
Soma Pia: Rais Samia aweka historia kwa Tanzania kualikwa kwa mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano wa G20
Watanzania tuachage unyonge wa kijamaa tulioachiwa na akina Kingunge, Sisi ni Taifa kubwa
Mungu wa mbinguni mbariki Mpendwa Wetu Mh Rais Samia
Mlale Unono 🌹