Ni basi gani zuri linaloweka video za maadili kwa safari?

Ni basi gani zuri linaloweka video za maadili kwa safari?

Ndigwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2013
Posts
210
Reaction score
59
Nimekuwa nikipata taabu niwapo safarini, hasa nikiwa na familia pale unakuta njia nzima anawekwa Harmonize, Diamondi n.k., ni kama mumeingia mtandaoni mnaangalia picha za ngono.

Yakipatikana mabasi yanayojali maadili na kuweka picha za heshima kwenye video zao itapendeza zaidi.
 
Panda mabus yasiyo na video au Yale ya VIP unakuwa na UHURU wa kuzima screen. Ili usiwasikilize hao mawakala wa shetani
 
Lengo kuu la bongo flavors ni kupotosha Jamii kwa kupromote ushoga, ngono, ulevi, uteja, maisha bandia, ukosefu wa adabu.
 
Nimekuwa nikipata taabu niwapo safarini, hasa nikiwa na familia pale unakuta njia nzima anawekwa Harmonize, Diamondi n.k., ni kama mumeingia mtandaoni mnaangalia picha za ngono.

Yakipatikana mabasi yanayojali maadili na kuweka picha za heshima kwenye video zao itapendeza zaidi.
Natafuta pesa ninunue gari yangu niweze safiri kwa amani.
 
Hivi abiria huwa analazimishwa kuongalia video au kusikiliza nyimbo? Ya nini kuhangaika kuangalia video usiyoipenda safarini wakati teknolojia imekuwa kubwa? Huwa nasafiri na earphone, basi wakiweka miziki yao nisiyoipenda nakeweka headphone masikioni au naanza kuangalia video zilizopo kwenye simu yangu kero sitaki
 
Nimekuwa nikipata taabu niwapo safarini, hasa nikiwa na familia pale unakuta njia nzima anawekwa Harmonize, Diamondi n.k., ni kama mumeingia mtandaoni mnaangalia picha za ngono.

Yakipatikana mabasi yanayojali maadili na kuweka picha za heshima kwenye video zao itapendeza zaidi.
Upo sahihi, nilishambuliwa siku moja niliposuggest kuwekwe vitu educational kwa manufaa ya wanafunzi, wajasiliamali, au waweke video za mafunzo ya afya, kilimo, ufugaji kiujumla ziwe video elimishi zenye tija za kiuchumi badala ya kuhamasisha ngono.

Unapanda Abood toka Moro kwenda Dar, walipokaa bibi na bwana wasiojuana wanaanza kutongozana wakifika mjini wakapumzike pamoja🤣😀
 
Nimekuwa nikipata taabu niwapo safarini, hasa nikiwa na familia pale unakuta njia nzima anawekwa Harmonize, Diamondi n.k., ni kama mumeingia mtandaoni mnaangalia picha za ngono.

Yakipatikana mabasi yanayojali maadili na kuweka picha za heshima kwenye video zao itapendeza zaidi.

Gari lao binafsi tu
 
Back
Top Bottom