Natafuta pesa ninunue gari yangu niweze safiri kwa amani.Nimekuwa nikipata taabu niwapo safarini, hasa nikiwa na familia pale unakuta njia nzima anawekwa Harmonize, Diamondi n.k., ni kama mumeingia mtandaoni mnaangalia picha za ngono.
Yakipatikana mabasi yanayojali maadili na kuweka picha za heshima kwenye video zao itapendeza zaidi.
Upo sahihi, nilishambuliwa siku moja niliposuggest kuwekwe vitu educational kwa manufaa ya wanafunzi, wajasiliamali, au waweke video za mafunzo ya afya, kilimo, ufugaji kiujumla ziwe video elimishi zenye tija za kiuchumi badala ya kuhamasisha ngono.Nimekuwa nikipata taabu niwapo safarini, hasa nikiwa na familia pale unakuta njia nzima anawekwa Harmonize, Diamondi n.k., ni kama mumeingia mtandaoni mnaangalia picha za ngono.
Yakipatikana mabasi yanayojali maadili na kuweka picha za heshima kwenye video zao itapendeza zaidi.
Nimekuwa nikipata taabu niwapo safarini, hasa nikiwa na familia pale unakuta njia nzima anawekwa Harmonize, Diamondi n.k., ni kama mumeingia mtandaoni mnaangalia picha za ngono.
Yakipatikana mabasi yanayojali maadili na kuweka picha za heshima kwenye video zao itapendeza zaidi.