nenda crdb, wana kitu yao inaitwa fast account opening (fao) unapata kila kitu hapo popote pale.
waone first national bank (fnb),fasta atm hapo hapo na kila transaction utakayofanya unapata sms notification.
nenda equity bank ndani ya dakika 10 usafungua akaunti pia branch zao hasa pale quality centre wanaoperate mpaka usiku.
pbz
people bank of zanzibar
hahahah kweli alafu hapo wana huduma ya money gram kila nkienda netwrk down siku mbili mfulululizo mpaka aliyekua anatumiaga hela nkamwambia basi mzee imetosha, twiga bankcorp kimeo kweli hata kwa huduma zaoBenki ambayo utachukua wiki mpaka miezi ni twiga bancorp,hapa sikushauri,ni ka benki ka hovyo,very archaic,hakana hata sim banking yaani hovyo kabisa
kiukweli bado sijaona benki ambayo ipo makini kama benki za wakeya (KCB na EQUITY) lakini njuavyo watanzania wakisikia chochote kuhusu kenya povu linawatoka sana