UTASHI
Senior Member
- Jan 19, 2013
- 135
- 56
Habari wote na poleni na majukumu ya kila siku,.
Naomba kuuliza,Hivi ni benki gani Tanzania mtu unaweza kufungua akaunti na ukapata ATM kadi yako siku hiyo hiyo na kuweza kuitumia,yaani bila kuelezwa habari ya kusubili na kuja kuchukua kadi yako siku nyingine?
Asante!
Naomba kuuliza,Hivi ni benki gani Tanzania mtu unaweza kufungua akaunti na ukapata ATM kadi yako siku hiyo hiyo na kuweza kuitumia,yaani bila kuelezwa habari ya kusubili na kuja kuchukua kadi yako siku nyingine?
Asante!