Ni biashara gani ambayo huelewi faida wanapata vipi?

Ni biashara gani ambayo huelewi faida wanapata vipi?

Wauza spea za magarii
Hii biashara ndio iliyompa utajiri Mzee Thomas Lymo mpaka akaja kuanzisha Tommy Milk. Anamiliki maeneo DSM GHOROFA mtaa Wa siku kuu Kariakoo, Hoteli Arusha, Shule Kimara DSM na Ranch Iringa. Huyu mwamba alinipa story ya maisha yake, alianza kusimamia biashara ya spea za magari mpaka akaja kufungua garage yake. Spea zina hela sana. Kwangu mimi biashara ambazo sielewi ni Barber Shop, Boutique na Wanamuziki. Hawa watu sielewi wanaingizaje faida ? Nimeshapangisha watu wanaofanya biashara hizo halafu wakaondoka ghafla. Ukiwauliza wanasema biashara ngumu. Sijawahi kusikia mtu anafanikiwa kwenye biashara hizi.
 
Maduka ya IPhone pale Makumbusho...
kwa maana. Pale Frame ni gharama, maduka yapo mengi sana, matumizi yao binafsi, matumizi ya ofisi....halafu nikiangalia mtaani Techno, Infinix na Samsung ndiyo nyingi.
Wale wengi tegesha wanadeal na illegal nyingi sana
 
Hii biashara ndio iliyompa utajiri Mzee Thomas Lymo mpaka akaja kuanzisha Tommy Milk. Anamiliki maeneo DSM GHOROFA mtaa Wa siku kuu Kariakoo, Hoteli Arusha, Shule Kimara DSM na Ranch Iringa. Huyu mwamba alinipa story ya maisha yake, alianza kusimamia biashara ya spea za magari mpaka akaja kufungua garage yake. Zoea zina hela sana. Kwangu mimi biashara ambazo sielewi ni Barber Shop, Boutique na Wanamuziki. Hawa watu sielewi wanaingizaje faida ? Nimeshapangisha watu wanaofanya biashara hizo halafu wakaondoka ghafla. Ukiwauliza wanasema biashara ngumu. Sijawahi kusikia mtu anafanikiwa kwenye biashara hizi.
wanamuziki wa kibongo amna kitu mkuu afu wanapga mizinga balaa
 
Hili biashara ya uwakala mpesa/tigopesa wanapataje faida?

Wahusika ukiwauliza wanakuwa na majibu mepesi mepesi kama CCM ya kuwa inategemeana na idadi ya miamala ulofanya. Kwanini Hawana hesabu kamili kwamba Kila buku chako ni kiasi hiki?
Kila unapofanya muamala wa kutoa pesa mfano umetoa 10,000 makato ni 1200 labda hayo makato ndiyo faida yako wewe na mtandao husika mfano voda uchukua nusu ya makato kwa kila muamala unaofanywa na wakala
 
Mie rafiki angu ana frem kkoo, ni zile ndogo ndogo, anauza vyupi, boxa vest.....anaenda kufata mzigo kule maduka ya jumla ambako vyupi 3 ni 9000 ye anauza 10000. Faida 1000

Ndo najiuliza hapo apate kodi laki na nusu, mshahara wa muuzaji laki na nusu, nauli ya kuja shop, msosi.....na mambo mengine [emoji848][emoji848]
Na kuna kipindi aliunganisha frem mbili kodi laki tatu

Niseme tu biashara zina siri
Huyo akiuza pc 2000 ana milion 2 lakini nahisi faida anapata zaidi ya hyo buku
 
Maduka ya IPhone pale Makumbusho...
kwa maana. Pale Frame ni gharama, maduka yapo mengi sana, matumizi yao binafsi, matumizi ya ofisi....halafu nikiangalia mtaani Techno, Infinix na Samsung ndiyo nyingi.
Unalo unalolitafuta ndugu? Mbona kakkoo maduka yamejaa
 
Kila unapofanya muamala wa kutoa pesa mfano umetoa 10,000 makato ni 1200 labda hayo makato ndiyo faida yako wewe na mtandao husika mfano voda uchukua nusu ya makato kwa kila muamala unaofanywa na wakala
Nani amekudanganya hivi mkuu? Ingekuwa ivo mawakala wangekuwa mamilionea
 
Jamiiforums ni kama Shirika lisilo la kiserikali hivyo linasaidia kukuza demokrasia hivyo wana wafadhili
Mfadhili mkuu mmojawapo kazikiwa tayari, jipangeni.
 
Mimi huwa nikiona biashara inaendeshwa na mwanamke unaona anakula vizuri ana Gari kali fremu laki 3 ++ siumizi kichwa..
Biashara nyingi za Wanawake town ni geresha Kuna kundi kubwa la wanaume wanalipa bili zote na kufidia loss zote
 
Back
Top Bottom