Head current
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 479
- 128
Habari wana jamvi,
Naomba tubadilishane mawazo kwenye hili, mara nyingi kumekuwa na biashara au fursa nyingi zenye kuhitaji nishati ya umeme na hivyo kupelekea kupata faida ndogo kutokana na gharama za uendeshaji.
Sasa basi hebu tujuzane wakuu ni biashara gani zinalipa iwapo huna nishati ya umeme usiyoilipia.
[/SIZE]
Naomba tubadilishane mawazo kwenye hili, mara nyingi kumekuwa na biashara au fursa nyingi zenye kuhitaji nishati ya umeme na hivyo kupelekea kupata faida ndogo kutokana na gharama za uendeshaji.
Sasa basi hebu tujuzane wakuu ni biashara gani zinalipa iwapo huna nishati ya umeme usiyoilipia.
[/SIZE]