Ni biashara gani inalipa??

nzuri ila ngumu kwa wananume hasa wenye elimu kiasi,ila kwa wadada wa atandard seven its the choice
Ok, kama una elimu ni kweli hii haitakufaa maana bila shaka wewe ni meneja au waziri au katibu mkuu wa wizara au balozi wa nchi huko ng'ambo...!!!
 

Na hapo ndipo elimu yaweza kuwa mkombozi au janga inategemea na msomi mwenyewe.
 
Biashara ni ngumu sana, inataka usimamizi wa hali ya juu, usipokuwa makini utabaki kusimulia kuwa nilikuwa na 5m/= juzi juzi zimekwisha, ukiweza weka kwenye fixed deposit, kama bado ipo, then tulia tuli.
Ahahahahahahàaaaaaa
 
Biashara ni ngumu sana, inataka usimamizi wa hali ya juu, usipokuwa makini utabaki kusimulia kuwa nilikuwa na 5m/= juzi juzi zimekwisha, ukiweza weka kwenye fixed deposit, kama bado ipo, then tulia tuli.
ndo ushauri gani sasa huu yani sisi wa TZ tuna kazi kweli yani.
 
duuuh kweli kuitafuta pesa ndipo uanze kuwaza uifanyie nini its hard game KIKUBWA CHA KUKUSHAURI WAONE CONSULTANCY wapo wengi au jiangalie kipi unakipenda ukitaka ufanye biashara kisa pesa utaumia maana utakosa passion na nidhamu ya fedha waone wakushauri kwanza au vipi mtafute mfanyabiashara aliyefanikiwa eneo lakp akushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…