Ni biashara gani inalipa??

Ni biashara gani inalipa??

Ibrahim K. Chiki

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2011
Posts
594
Reaction score
163
Wana jf, naombeni msaaada wa biashara gani inafaaa? kufanya...! nna mtaji wa kama m5 hivi bt stil sijajua ni bzness gani nitafanya...msaada wa mawazo jamani.
 
Wana jf, naombeni msaaada wa biashara gani inafaaa? kufanya...! nna mtaji wa kama m5 hivi bt stil sijajua ni bzness gani nitafanya...msaada wa mawazo jamani.

Fungua duka lolote pale Samunge Loliondo inalipa sana kwa sasa.
 
Wana jf, naombeni msaaada wa biashara gani inafaaa? kufanya...! nna mtaji wa kama m5 hivi bt stil sijajua ni bzness gani nitafanya...msaada wa mawazo jamani.

Duh! mkuu jamani hata kainterest kabiashara yeyote huna jamani! Ok jaribu kufikiria biashara hii and make sure umefanya survey katika eneo unapo ishi. Kama uko Dar buy mitungi ya gas 30 ya kilo 15 and 30 ya kila 6. (Biashara ya domestic Gas inalipa sana hapo Dar) Sasa ifanye kwa style tofauti. Weka M-Pesa pia hapo kwako. Pia kodisha pikipiki moja kwanza (most of the owners wa pikipiki they need elfu 6 kwa siku, kwa mwezi ni 180,000) kijana wa kuedesha pikipiki kubaliana nae. anatakiwa afanye kazi within maeneo ya ofisi yako. Use him to do "Cooking Gas home delivery" whereby mteja will just make a call anytime then anatao direction alipo so kijana wako will just deliver Gas within 15min. Print vipeperushi visambaze katika eneo unapo ishi au ofisi yakoilipo. Sehemu nzuri ya kusambazia vipeperushi kama hivyo ni karibu na misikiti au kanisa baada ya ibada, jumapili au Ijuma. Therefore kutokana na faida ya mitungi ya 15kg if you can distribute mitungi yote 30 in a day it means you have not less than 65,000 unlike mitungi ya 6kg. Kuhusu M-Pesa, it won't be a must for a customer to pay cash hata akiwa na M-Pesa you do accept lakini you have to charge kama vile atakavyo taka cash. Therefore mteja akiwa ofisini akijulishwa Gas imeisha will just send you M-Pesa then unadeliver Gas nyumbani kwake. Guys hapo Dar there is alot of businesses but one has to be so creative and business oriented. To deal with biashara ya huduma kwa jamii it pays alot. Mkuu huwezi poteza pesa yako ila am very sure demand ndio itakushinda usipo kuwa makini.
 
Duh! mkuu jamani hata kainterest kabiashara yeyote huna jamani! Ok jaribu kufikiria biashara hii and make sure umefanya survey katika eneo unapo ishi. Kama uko Dar buy mitungi ya gas 30 ya kilo 15 and 30 ya kila 6. (Biashara ya domestic Gas inalipa sana hapo Dar) Sasa ifanye kwa style tofauti. Weka M-Pesa pia hapo kwako. Pia kodisha pikipiki moja kwanza (most of the owners wa pikipiki they need elfu 6 kwa siku, kwa mwezi ni 180,000) kijana wa kuedesha pikipiki kubaliana nae. anatakiwa afanye kazi within maeneo ya ofisi yako. Use him to do "Cooking Gas home delivery" whereby mteja will just make a call anytime then anatao direction alipo so kijana wako will just deliver Gas within 15min. Print vipeperushi visambaze katika eneo unapo ishi au ofisi yakoilipo. Sehemu nzuri ya kusambazia vipeperushi kama hivyo ni karibu na misikiti au kanisa baada ya ibada, jumapili au Ijuma. Therefore kutokana na faida ya mitungi ya 15kg if you can distribute mitungi yote 30 in a day it means you have not less than 65,000 unlike mitungi ya 6kg. Guys hapo Dar there are alot of businesses but one has to be so creative and business oriented. To deal with biashara ya huduma kwa jamii it pays alot. Mkuu huwezi poteza pesa yako ila am very sure demand ndio itakushinda usipo kuwa makini.

Good idea dude
 
Wana jf, naombeni msaaada wa biashara gani inafaaa? kufanya...! nna mtaji wa kama m5 hivi bt stil sijajua ni bzness gani nitafanya...msaada wa mawazo jamani.

Kila biashara inalipa, inategemeana sana na ubunifu wako. Soma kitabu kinaitwa "ACRE OF DIAMOND". Hapo ulipo sasa hivi kuna biashara yenye faida kubwa sana, chunguza kwa makini.
 
Duh! mkuu jamani hata kainterest kabiashara yeyote huna jamani! Ok jaribu kufikiria biashara hii and make sure umefanya survey katika eneo unapo ishi. Kama uko Dar buy mitungi ya gas 30 ya kilo 15 and 30 ya kila 6. (Biashara ya domestic Gas inalipa sana hapo Dar) Sasa ifanye kwa style tofauti. Weka M-Pesa pia hapo kwako. Pia kodisha pikipiki moja kwanza (most of the owners wa pikipiki they need elfu 6 kwa siku, kwa mwezi ni 180,000) kijana wa kuedesha pikipiki kubaliana nae. anatakiwa afanye kazi within maeneo ya ofisi yako. Use him to do "Cooking Gas home delivery" whereby mteja will just make a call anytime then anatao direction alipo so kijana wako will just deliver Gas within 15min. Print vipeperushi visambaze katika eneo unapo ishi au ofisi yakoilipo. Sehemu nzuri ya kusambazia vipeperushi kama hivyo ni karibu na misikiti au kanisa baada ya ibada, jumapili au Ijuma. Therefore kutokana na faida ya mitungi ya 15kg if you can distribute mitungi yote 30 in a day it means you have not less than 65,000 unlike mitungi ya 6kg. Kuhusu M-Pesa, it won't be a must for a customer to pay cash hata akiwa na M-Pesa you do accept lakini you have to charge kama vile atakavyo taka cash. Therefore mteja akiwa ofisini akijulishwa Gas imeisha will just send you M-Pesa then unadeliver Gas nyumbani kwake. Guys hapo Dar there is alot of businesses but one has to be so creative and business oriented. To deal with biashara ya huduma kwa jamii it pays alot. Mkuu huwezi poteza pesa yako ila am very sure demand ndio itakushinda usipo kuwa makini.

Hii nimeipenda lakini ina specific maeneo km Oysterbay, Masaki, Mbezi Beach na sio Buguruni kwa Mnyamani, Manzese Kwa Mfuga mbwa nk nk
 
Hii nimeipenda lakini ina specific maeneo km Oysterbay, Masaki, Mbezi Beach na sio Buguruni kwa Mnyamani, Manzese Kwa Mfuga mbwa nk nk

Mkuu hao wafuga mbwa ndio wenye kutoa pesa, wanapeda sana home delivery due to time factor.
 
Wana jf, naombeni msaaada wa biashara gani inafaaa? kufanya...! nna mtaji wa kama m5 hivi bt stil sijajua ni bzness gani nitafanya...msaada wa mawazo jamani.

fungua kagrocery ka matunda na fresh juice. Unaweza kutafuta orders maofisini ukawa unawapelekea fruit dishes kila siku mida ya lunch.
 
Duh! mkuu jamani hata kainterest kabiashara yeyote huna jamani! Ok jaribu kufikiria biashara hii and make sure umefanya survey katika eneo unapo ishi. Kama uko Dar buy mitungi ya gas 30 ya kilo 15 and 30 ya kila 6. (Biashara ya domestic Gas inalipa sana hapo Dar) Sasa ifanye kwa style tofauti. Weka M-Pesa pia hapo kwako. Pia kodisha pikipiki moja kwanza (most of the owners wa pikipiki they need elfu 6 kwa siku, kwa mwezi ni 180,000) kijana wa kuedesha pikipiki kubaliana nae. anatakiwa afanye kazi within maeneo ya ofisi yako. Use him to do "Cooking Gas home delivery" whereby mteja will just make a call anytime then anatao direction alipo so kijana wako will just deliver Gas within 15min. Print vipeperushi visambaze katika eneo unapo ishi au ofisi yakoilipo. Sehemu nzuri ya kusambazia vipeperushi kama hivyo ni karibu na misikiti au kanisa baada ya ibada, jumapili au Ijuma. Therefore kutokana na faida ya mitungi ya 15kg if you can distribute mitungi yote 30 in a day it means you have not less than 65,000 unlike mitungi ya 6kg. Kuhusu M-Pesa, it won't be a must for a customer to pay cash hata akiwa na M-Pesa you do accept lakini you have to charge kama vile atakavyo taka cash. Therefore mteja akiwa ofisini akijulishwa Gas imeisha will just send you M-Pesa then unadeliver Gas nyumbani kwake. Guys hapo Dar there is alot of businesses but one has to be so creative and business oriented. To deal with biashara ya huduma kwa jamii it pays alot. Mkuu huwezi poteza pesa yako ila am very sure demand ndio itakushinda usipo kuwa makini.

ahsante mkuu japo sikuomba mimi ila huu ushauri nimeupokea na nitaufanyia kazi
 
Hii nimeipenda lakini ina specific maeneo km Oysterbay, Masaki, Mbezi Beach na sio Buguruni kwa Mnyamani, Manzese Kwa Mfuga mbwa nk nk
si kweli kwani nani asiyetumia gas kwa sasa na nani asiyejua MMPESA tena maeneo ya mfuga mbwa ndio vibanda vya mpesa kibao,nafikiri tena kama hamna taht will be BLUE OCEAN u should have the UNCONTESTED MARKET THERE
 
fungua kagrocery ka matunda na fresh juice. Unaweza kutafuta orders maofisini ukawa unawapelekea fruit dishes kila siku mida ya lunch.


nzuri ila ngumu kwa wananume hasa wenye elimu kiasi,ila kwa wadada wa atandard seven its the choice
 
@Prime Dynamics

Mkuu nakukubali..kila idea ya biashara unayoitoa inakuwa imesimama.
hongera sana.Nakuombea uzidi kutupanua mawazo.
Ubarikiwe
 
nzuri ila ngumu kwa wananume hasa wenye elimu kiasi,ila kwa wadada wa atandard seven its the choice

watu wengi huwa wanadharau biashara fulani kwa kujiona wana elimu ya darasani!!
Kuna mama mmoja alikuwa anahojiwa anasema katika biashara yake ya kukaanga mihogo anapata faida ya elf 10. Anaanza kazi sa moja hadi sa sita mihogo ishaisha.
Ukipiga mahesabu kwa mwezi utaona faida yake.
Nina uhakika kuna watu wapo kwenye ofisi za watu zenye majina makubwa ila mishahara yao hata laki haifiki na wanatumika asbuh hadi jioni.
Inawezekana vielimu walivyonavyo wanaona kuna baadhi ya biashara hawastahili kuzifanya. Inawezekana wewe ni mmojawapo.
 
Prime idea ni nzuri sana nimeipenda,na pia kumekuwa na kasumba ya watu kudharau aina ya biashara,ni mtu kuiboresha tu.
Maana ukichunguza kiundani wanaopata pato kubwa ni hawa tunaoona biashara zao zinawafaa wenye viwango vidogo vya elimu.
Kuna kijana huku nimeona kafungua kampuni ya kufanya usafi maofisini,na kusafisha mazulia ya majumbani.
Hivyo ni kwa makubaliano na ofisi malipo yanaweza kufanyika kwa mwezi.
Kingine ni Bakery ya kutengeneza mikate,sina details za gharama ya oven,unaweza kuanza na manual labor katika uandaaji wa unga wa mikate,skonsi,na keki ukawa unasambaza maofisini,supermarket sababu hiki ni chakula kinachotumiwa kila siku naamni mauzo yatakuwa mazuri,kwenye miji mikubwa kama Dar,Arusha,Mwanza
Changamoto ni kutengeneza bidhaa inayokubalika kwani kuna watu wenye majina tayari.
 
Fanya hivi, nunua boda boda zako tatu wape vijana waaminifu unaowafahamu wapige mzigo, kwa siku watakuletea mkate mmoja,sukari 1kg + 8,000 *3 =24,000 kwa mwezi ni kama 720,000 hapo wanajilipa wenyewe na mafuta wanaweka wenyewe we utahakikisha servise inafanywa kwa wakati, wakati huo unakaa nyumbani tu miguu kwenye sofa remote mkononi na coca badiri pembeni na papcorn...!
 
Back
Top Bottom