Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elezea zaidi hiyo maliasili mkuuNjoo kwenye mazao/maliasili hautajuta ukituliza akili.
Kwenda porini kubeba magogo yaliyotolewa mabanzi.Elezea zaidi hiyo maliasili mkuu
Tunapigaje pesa
Tuonyeshe njia
Kama biashara gani mtu anaweza Anza na mtaji wa million 3 na huku biashara ikakuaHapo usitake uweke 25 yote tafta biashar ambayo ipo rohon weka ata 3 m tyuu badae utakua unaongeza mdg mdg unatanua biashara sasa
Hiyo 25M umeipataje ?Wakuu ushauri wenu ni muhimu. Ni biashara gani naweza kuifanya nikiwa na kiasi cha tsh million 25? Naamini kwa ushauri wenu na wengine watajifunza kitu hapa.
Ahsante.
Mkuu kuna sababu nyingi sana za kupata pesa nyingi bila ya kuhangaika Sana. Mfano urithi, betting, kuokota pesa. zote hizo zinaweza kukufanya ukawa millionaire kwenye wallet ila maskini kichwani.Hiyo 25M umeipataje ?
Halafu ukose biashara ya kufanya??
Best Kwang ni biashar yoyte ya jumla yaaan biashar ya kununua na kuuza kitu kwa bei ya jumla mfano kutoa dagaa mwanza kupeleka nje kama dar dom songea mbeya n.k au hata samaki unaanza kwa kwa hela kidg ata mil 2 tyu ukiona inalipa unaongeza tena mbili ila ni vzur magazine yako yalipo ndoo ikawa pia sehem ya kufikia mzigo wakoKama biashara gani mtu anaweza Anza na mtaji wa million 3 na huku biashara ikakua
Kwa mtaji wa TZS 25 milioni, kuna fursa nyingi za biashara ambazo unaweza kufikiria kuanzisha Tanzania. Hapa kuna baadhi ya mawazo ya biashara ambayo yanaweza kufaaMkuu Nipo mkoa wa rukwa wilaya ya sumbawanga.
Kama haujui bors kaweke utt utakula hasara tuWakuu ushauri wenu ni muhimu. Ni biashara gani naweza kuifanya nikiwa na kiasi cha tsh million 25? Naamini kwa ushauri wenu na wengine watajifunza kitu hapa.
Ahsante.
Biashara zipo nyingi sana za kufanya ila ni vyema ungesema biashara ambayo ushawai kuifanya au ungependekeza mwenyewe hata biashara tano tofauti ili wana jamvi tukupe mbinu kutokana na uzoefu wetu kwenye izo biashara.Wakuu ushauri wenu ni muhimu. Ni biashara gani naweza kuifanya nikiwa na kiasi cha tsh million 25? Naamini kwa ushauri wenu na wengine watajifunza kitu hapa.
Ahsante.