Ni biashara gani nikifanya naweza kupata faida 10k kwa siku?

tafuta meza au toroli la kusukuma(unaweza kutengeneza au kukodi), nenda sokoni nunua matunda kwa bei ya chini hasa yanayopendwa kama matikiti, machungwa, parachichi n.k uza vipande kwa mazima kutokana na uhitaji wa wateja. Ukipata location nzuri ukakata tikiti zaidi ya 5 kwa siku na zikauzika utafikia lengo.
NB: zingatia usafi
 
Elfu kumi
Kwaiyo
K= 10,000

Pale ulisema 10K
Unamaanisha 10 ร—10,000 = 100,000 Faida..

Kupata faida Ya Laki kwa Siku kwa Mtaji Wa chini mpwa Sahau...!

Mitaji ya Chini huwa tunatafuta 'mkono uende Kinywani na njia ya Maliwato isiote Majani tu'.....

Mengine ni kujitafutia Sonona na Msongo mawazo..!
 
Mjasiriamali mapambanaji mtafutaji tajiri motiveshen spika Leejay49 ushauri kidogo
 
Mi kwq mtaji wa elfu 60 nimeanzisha biashara ya mikopo aina ya KAUSHA DAMU๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Kina mama mtaani wananiita komoa
 
Hujanielewa bro
Mm nilikuwa namaanisha 10k per day yaan faida ya elfu kumi kwa siku na si laki moja

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
K= 1000
 
Leta mteja anayeweza kununua mifuko ya simenti 100, upate 50,000 (udalali/ hakuna haja ya mtaji); kama utawapata kila siku, utakuwa unaingiza pato la kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ