Ni biashara gani nzuri kufanya maeneo ya shule ya msingi?

Ni biashara gani nzuri kufanya maeneo ya shule ya msingi?

Ngoja nikukopie idea flani naiona huku chamazi, unajua cake flani hivi zinakua na kikaratasi zinakua 10pcs per pact. Sasa huku kuna mtu anawauzia moja moja but anachukua ile cream ya kuandika kwenye cakes anawaandikia vijimaneno au majina basi vibinti vya primary anawachukulia sana hela.
 
Aiseee
Ngoja nikukopie idea flani naiona huku chamazi, unajua cake flani hivi zinakua na kikaratasi zinakua 10pcs per pact. Sasa huku kuna mtu anawauzia moja moja but anachukua ile cream ya kuandika kwenye cakes anawaandikia vijimaneno au majina basi vibinti vya primary anawachukulia sana hela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nikukopie idea flani naiona huku chamazi, unajua cake flani hivi zinakua na kikaratasi zinakua 10pcs per pact. Sasa huku kuna mtu anawauzia moja moja but anachukua ile cream ya kuandika kwenye cakes anawaandikia vijimaneno au majina basi vibinti vya primary anawachukulia sana hela.
Sizifahamu hizo keki unaweza kunisaidia jinsi ya kuzipata
 
Mihogo....
Nakumbuka nliposomaga mbuyuni pry school
Kuna mzee mmja tulikuwa tunamuita mzee masharubu, alitulisha sana Mihogo alikuwa anauza yeye na kusaidiana na familia yake
Walikuwa wanauza sana....

Kwa kuongeza tu hyu mzee Ndy mwanzilishi wa kuuza Mihogo Coco Beach

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara yoyote inayohusisha chakula itafaa vitu vya kuzingatia.
1.Mahali utakapopata malighafi kwa bei rahisi lakini zikiwa kwenye ubora (manunuzi ya minadani na machinjioni)
2.Bei ya vyakula (isiwe kubwa sana na hili litafanikishwa na kununua vitu kwa bei nafuu usinunue vitu vya masokoni kama watu wengine utaumia)
3. Usafi wa mazingira na wako mwenyewe hili litavutia sio wanafunzi tu bali hata walimu kuja kununua kwako yaani hapa hata ukiwa unauza wali maharage kikombe 500 watakuja.
4.Lugha na tabia hili litakupa heshima na kukujengea uhusiano kwa jamii husika
5.Kujituma na kufikiria faida ya muda mrefu kwani biashara haitaanza kulipa moja kwa moja hivyo usitegemee faida ya haraka
6.Nidhamu ya matumizi ya fedha na akiba kwa kuwa biashara za mashuleni ni za msimu.
7.Kumbuka biashara ya chakula ni ya UTU zingatia kusaidia wengine pale unapoweza na utafanikiwa



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom