Ni biashara gani unaweza kufanya ikawa inakuingizia kipato na huku umeajiriwa

Melanny

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
1,247
Reaction score
2,234
Nina imani wengi tumeajiriwa ila tunatamani kuongeza kipato zaidi.

Naomba tuchangieni biashara ipi tunaweza fanya tukiwa kazini.

Kwa mimi kazi ambayo naweza fanya nikiwa kazini ni za kuuza bidhaa online na baadae nikitoka mida ya saa kumi nafanya delivery.

Je, wewe unafanya ishu gani na huku umeajiriwa???
 
Kama unajua kuuza bidhaa online kwanini uombe kuajiliwa? Nenda fb, insta, kupatana.com, n.k. tafuta bidhaa inayouzwa muulize muuzaji ili uiuze kwa niaba yake upate commission! Simple
Ngoja nitafakari hilo ndugu
 
Biashara ya sa8 paka sa4 usiku ni Bar kama huko vizur anzisha iyo Bar au Grocery ili jion watu wakitoka kazin tuwe tunakuja kula mtungi, sema hujasema una capital kias gan
 
BIASHARA inategemea Mambo kadhaa. 1 kiwango Cha mtaji.2 Aina ya watu wanaokuzunguka mfano huwez kuuza kitimoto sehem yenye waislam wengi. 3 site ya iliyokaa kibiashara. 4 uwezo wa kuisimamia na kuiendesha. 5 availability of suppliers. 6 demand ya bidhaa ili upate faida . 7 ujuzi . 8 Kama were Ni mwajiriwa angalia namna ya kugawa muda wako wa ziada. Kifupi naona hayo na mengine yatakusaidia kuamua
 
Network marketing piah unaweza kufanya, kikubwa angalia company inahusika na mambo gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…