Km uko dsm ingia K.koo Nunua mikanda ya kiume ile ambayo wamachinga wanaiuza 3000
Ukinunua kwa bei ya jumla nafkir 1000 kwa pc ...chukua hata ya 30000 hv ujaribu
Au km vp nunua drinks (soda take away, juice, maji, energy n.k) kwa bei ya jumla uwe unazunguka kule kule k.koo hukosi hela mkuu
Au Nunua mifuko kwa bei ya jumla mifuko ya size tofaut tofaut then zungusha huko huko k.koo
Au tafuta kimeza hata cha 15000 utafute sehemu yakukiweka huko huko k.koo then nunua glass protector za simu mbali mbali na covers za simu ..sema sasa kwenye hii inahitaji kidogo pia ujue na simu zipi covers na protector zinatembea haraka ( mostly ni Tecno, Infinix na aitel)
Ukiondoa aibu hiyo 100000 mbona nyingi mkuu
Note: Nasisitiza K.koo coz ndo kuna mzunguko mkubwa