Ni biashara gani ya kuingiza 1000 kwa siku naweza kufanya?

Ni biashara gani ya kuingiza 1000 kwa siku naweza kufanya?

Km uko dsm ingia K.koo Nunua mikanda ya kiume ile ambayo wamachinga wanaiuza 3000

Ukinunua kwa bei ya jumla nafkir 1000 kwa pc ...chukua hata ya 30000 hv ujaribu


Au km vp nunua drinks (soda take away, juice, maji, energy n.k) kwa bei ya jumla uwe unazunguka kule kule k.koo hukosi hela mkuu

Au Nunua mifuko kwa bei ya jumla mifuko ya size tofaut tofaut then zungusha huko huko k.koo

Au tafuta kimeza hata cha 15000 utafute sehemu yakukiweka huko huko k.koo then nunua glass protector za simu mbali mbali na covers za simu ..sema sasa kwenye hii inahitaji kidogo pia ujue na simu zipi covers na protector zinatembea haraka ( mostly ni Tecno, Infinix na aitel)

Ukiondoa aibu hiyo 100000 mbona nyingi mkuu

Note: Nasisitiza K.koo coz ndo kuna mzunguko mkubwa
Sorry wewe umewahi kufanya biashara miongoni mwa hizo tajwa?
 
Sorry wewe umewahi kufanya biashara miongoni mwa hizo tajwa?
Hapana sijawahi lakini nimesha kuwa karibu na watu wanaofanya biashara hzo hzo hapo K.koo na nkaona wanavyo pata fedha na kubadilika kabisa na kuingia kwenye biashara zingine
 
Pole bado una mentality za kizamani. kwa taarifa yako nyakati zimebadilika na wanaolima sasa hivi ni wenye hela kwani gharama za kilimo zipo juu sana kuanzia gharama za Ardhi , pembejeo , vibarua , viuatilifu, mbolea n.k


Kama hauna pesa usitie mguu wako shamba.
Sijaongelea mashamba ya Zinga Bagamoyo, nazungumzia shamba la kijijini kwako ulikotoka kasulu huko n the like
 
Back
Top Bottom