mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Kanunue dawa za mbu , viroboto na nzi .Wanajamvi nawapa salamu
Nina mtaji wa 100000 na naomba wajuzi wanijulishe biashara inayoweza kunipa 1000 au hata 500 kwa siku.
Nipo DSM
Ahsanteni nyote
Wapi wanauza kwa jumla?Kanunue dawa za mbu , viroboto na nzi .
Zungusha uswahilini utapata hiyo buku.
Ingia kariakoo pale karibu na sheli ya Big bon upande wa ndani kidogo au ulizia kuna maduka ya wahindi wanauza hivyo vitu..Wapi wanauza kwa jumla?
@diuretic bahasha zilikuwa zinafaida kabla ya hiii mifuko soft inayokaa miambili kwa pic's kuingia sokonikutengeneza bahasha au vile vifungashio na kuviuza madukani. huitaji mtaji mkubwa bali kujifunza tu
mkuu bahasha zilikua zinaingiza mpaka 20k au zaidi kwa siku. ila soma uzi mkuu anataka buku tu au jero@diuretic bahasha zilikuwa zinafaida kabla ya hiii mifuko soft inayokaa miambili kwa pic's kuingia sokoni
Hivi ile mifuko soft naweza nikapata kwa jumla kwenye maduka gani ya VIFUNGASHIO yanapatkana mitaa ipi kwa kariakoomkuu bahasha zilikua zinaingiza mpaka 20k au zaidi kwa siku. ila soma uzi mkuu anataka buku tu au jero
vifungashio mtaa wa tandamti.Hivi ile mifuko soft naweza nikapata kwa jumla kwenye maduka gani ya VIFUNGASHIO yanapatkana mitaa ipi kwa kariakoo
Thanks [emoji120] kiongozivifungashio mtaa wa tandamti.
Na bei zake kwa jumla ni sh ngapi na kwa reja reja natakiwa kuuza sh ngapi?vifungashio mtaa wa tandamti.
Yaani uingize sh 500 kwa siku ukiwa DSM manake Sh 15,000 kwa mwezi! Rudi kijijini kalimeWanajamvi nawapa salamu,
Nina mtaji wa 100,000 naomba wajuzi wanijulishe biashara inayoweza kunipa 1000 au hata 500 kwa siku. Nipo DSM
Ahsanteni nyote.
Pole bado una mentality za kizamani. kwa taarifa yako nyakati zimebadilika na wanaolima sasa hivi ni wenye hela kwani gharama za kilimo zipo juu sana kuanzia gharama za Ardhi , pembejeo , vibarua , viuatilifu, mbolea n.kYaani uingize sh 500 kwa siku ukiwa DSM manake Sh 15,000 kwa mwezi! Rudi kijijini kalime