Ni biashara ipi ukiwekeza kidogo unapata faida kubwa?

Ni biashara ipi ukiwekeza kidogo unapata faida kubwa?

Zipo mkuu...

1) Kubet
2) Kukodi silaha kwa 20000 nakuenda kuiba 80000
3) kujiuza kama ww ni mtoto wa kike( kama wa kiume haiwezekani)
4) kuuza madawa ya kulevya
5)kununua mbegu za 20000 kupanda ,kupalilia mpka kuvuna utapata 80000 yako
Namba 1 na 5 hazina uhakika,Ni probarbility unaweza kuweka hyo pesa na ukaikosa yote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye kubet ni rahis sana,odds 4 ni rahisi kuzpata hasa sku za ijumaa jumamosi na jumapili,unataka kukopa Tala 20,000/=(usitumie pesa hizi zina mikosi)
 
Biashara ya service kama mc,mpika debe na upatu, dalali, mwizi, jambazi, kibaka, shoga, blowjob, msafisha viatu kwa tauro, kuuza Choma au chemsha maindi na Karanga, kufulia watu nguo, kukata miti na kusafisha bustani au garden za watu, kuzibua mitaro, kuokota makopo na mifuko plastic, kuosha nagari, kukata nywele kwa mkasi kitana na kiwembe, kupora, kupiga mizinga, kuuza vocha
 
Mkuu nikukosoe kidogo hapa,wakili anategemea elimu yake ambayo alipoteza muda kwa miaka 20,yaani kwa kiufupi mtaji wake Ni akili tu/elimu aliyonayo kichwani na sio kuweka pesa Kama ulivyotaka ww kwenye mada yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara yoyote inahitaji uwekezaji,ata kama angesoma miaka 50 malipo anayopata yanazidi garama alizotumia kusomea.
 
Biashara ya service kama mc,mpika debe na upatu, dalali, mwizi, jambazi, kibaka, shoga, blowjob, msafisha viatu kwa tauro, kuuza Choma au chemsha maindi na Karanga, kufulia watu nguo, kukata miti na kusafisha bustani au garden za watu, kuzibua mitaro, kuokota makopo na mifuko plastic, kuosha nagari, kukata nywele kwa mkasi kitana na kiwembe, kupora, kupiga mizinga, kuuza vocha
Haya sasa ni kazi ya mwenye nia, kutenganisha pumba na mchele.

Asante

Sent using simu mbovu
 
Back
Top Bottom