Mwana wa Nuru
JF-Expert Member
- Dec 3, 2012
- 589
- 412
Kwenu wana jamvi, Salaam.
Ninataka kuanzisha biashara ndogondogo halali Dar es salaam lakini sijui ni ipi inaweza kulipa kwa urahisi bila ya kuwa na tension kubwa. Naomba mapendekezo ya biashara aina tatu za mtaji wa milioni mbili kila moja. Asante.
Ninataka kuanzisha biashara ndogondogo halali Dar es salaam lakini sijui ni ipi inaweza kulipa kwa urahisi bila ya kuwa na tension kubwa. Naomba mapendekezo ya biashara aina tatu za mtaji wa milioni mbili kila moja. Asante.