mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
- Thread starter
- #21
Ni kweli tarehe 21 February 1969.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli tarehe 21 February 1969.
Asante
Asante!Hongera sana, miaka inaenda kasi sana!
Mungu azidi kukuweka na afya tele, na uwe na amani siku zote!
Vipi huamini? ni kweli nimekula chumvi nyingi.Aiseee
AsanteNi dada kidogo tu nahisi atakuwa wa 66 mie 69 kila la heri mwanangu.
Sawa Mama Kubwa so Sherehe unafanyia wapi maana 50 years sio mchezo?Ba mkubwa alikata kona siku nyingi alikimbia na dogodogo anasubiri watoto wapate kazi arudi analialia kama Baba Diamond, lakini hiyo hainizuii kuwa na furaha kufikisha nusu karne.
Nimeshangaa pia nimeingia GOOGLE nimekuta vicandle kwenye maandishi yake sijui nao wana adhimisha kitu gani?
Bado miaka mingapi kufikia umri wa Mama Kubwa?Kheri ya Kuzaliwa Mama. Nimejikuta nafurahia tu hiyo age yako sababu kina sie bado tuna safari ndefu mnoo kufika hapo ulipofika Mkuu.
Ngoja nikakalikuleti. 😂😂😂😂Bado miaka mingapi kufikia umri wa Mama Kubwa?
Sijajua, nimekuta nimepata wish nikakumbuka Leo, nadhani tunasheherekea na Mugabe piaNimeshangaa pia nimeingia GOOGLE nimekuta vicandle kwenye maandishi yake sijui nao wana adhimisha kitu gani?
Ha ha ha ha nikuletee kikotoo cha zamani au hiki kipya?Ngoja nikakalikuleti. 😂😂😂😂
Niko kibaruani jioni lazima kakuku choma hizi birthday sio kama za kina Wema muhimu kumshukuru MUNGU kusaidia kidogo wasiojiweza basi.Sawa Mama Kubwa so Sherehe unafanyia wapi maana 50 years sio mchezo?
jua na wewe atakukalikuleti ajue umri wako😆Ngoja nikakalikuleti. 😂😂😂😂
Mama Kubwa hako kakuku choma utakula peke ako kwel Mie naomba mualiko tu hata wa kufungua sodaNiko kibaruani jioni lazima kakuku choma hizi birthday sio kama za kina Wema muhimu kumshukuru MUNGU kusaidia kidogo wasiojiweza basi.
Cha zamani leta hicho kipya hapana.Ha ha ha ha nikuletee kikotoo cha zamani au hiki kipya?
Ni kweli umri una maana nyingi nimepitia mengi mishale, maumivu ya kuondokewa na wapendwa nk.Kheri ya Kuzaliwa Mama. Nimejikuta nafurahia tu hiyo age yako sababu kina sie bado tuna safari ndefu mnoo kufika hapo ulipofika Mkuu.