Ni bora Bunge likawa na Wabunge wa CCM 100% kuliko kuwa na Wabunge wachache wa Upinzani. Faida na hasara zake kwa CCM na Upinzani ni hizi

Ni bora Bunge likawa na Wabunge wa CCM 100% kuliko kuwa na Wabunge wachache wa Upinzani. Faida na hasara zake kwa CCM na Upinzani ni hizi

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Kwa namna fulani matokeo tunayoambiwa ya uchaguzi kuwa CCM wamechukua viti vya Bunge kwa 100% mimi binafsi nimeyapokea kwa furaha sana, sio kwa kuwa naipenda CCM, la bali kwa kuwa CCM na wananchi kwa ujumla bado hawajatambua umuhimu wa kuwa na wabunge wa upinzani. Binafsi ningependa idadi ya viti sawa Bungeni kwa CCM na Upinzani, lakini mbunge yeyote wa upinzani akishinda kwenye uchaguzi huu ningependekeza ajiuzuru kuwapa CCM viti 100%.

Kuwa na wabunge wachache wa upinzani Bungeni ilikuwa ni kupotezeana muda tu. Michango na kauli za kitoto sana vilitawala toka pande zote mbili hadi baadhi yetu kuujiuliza kwa nini wabunge waitwe waheshimiwa!

Kwa upinzani ilikuwa mapema sana kwao kushangilia kuwa Magufuli alishindwa kuua upinzani nchini, na sasa nadhani wameelewa Magufuli alimaanisha nini! Na pia, CCM wasiwe na haraka kushangilia huu ushindi wa 100%. Kuna mambo makuu matano yanawezwa kusababishwa na CCM kuwa na 100% ya wabunge Bungeni.
  1. CCM sasa wanaweza kubadilisha katiba wanavyotaka, kutia ndani kumfanya Magufuli awe raisi wa maisha
  2. Bunge halitachukua muda mrefu kufanya vikao vyake, lakini kutakuwa na manung'uniko mengi ya wabunge kuwa wanaburuzwa
  3. CCM hawatakuwa na wigo wa kuwalaumu wapinzani kwa lolote linalohusu nchi hii - jimbo lisipokuwa na maendeleo hakuna tena kisingizio kwamba ni kwa sababu mlimchagua mbunge wa upinzani
  4. Wananchi hawahitaji tena kuambiwa au kukumbushwa mabaya ya CCM, kama kuna mabya yanafanyika kila mtu atajua ni CCM wanaosababisha
  5. Ugomvi na kutoelewana ndani ya CCM kutachukua hatua mpya bila kuwapo wapinzani wa kuwalaumu kwa lolote linalosababisha ugomvi ndani ya CCM kati ya wabunge na viongozi wa serikali
 
Ulichokiongea ni ukweli lakini jambo la kujiuliza ni do they really care?

Wapo wananchi waliobebwa kwenye magari na CCM kila kituo wamepiga kura kwa mtonyo wa buku 5, hao tu binafsi ndani ya nyoyo zao wanajua kweli zote kua uchaguzi huu ni fully of conspiracy.
 
Ulicho kiongea ni ukweli lakini jambo la kujiuliza ni do they really care?

Wapo wananchi waliobebwa kwenye magari na CCM kila kituo wamepiga kura kwa mtonyo wa buku 5, hao tu binafsi ndani ya nyoyo zao wanajua kweli zote kua uchaguzi huu ni fully of conspiracy.
Mkuu siongelei kama ushindi wa CCM ni halali au la, naongelea matokeo ya ushindi wa CCM katika kipindi cha miaka mitano ijayo
 
Hujielewi wewe mla bure, ndio maana unaongea upuuzi tu hapa.
Kuna wakati inafikia ukubali kwamba in a war there battles you will win and battles you will lose. Katika vita ya Uganda ya Idd Amin na Tanzania, tuliibuka kidedea na kushangilia, lakini haina maana we won every battle of that war.
 
Kwa namna fulani matokeo tunayoambiwa ya uchaguzi kuwa CCM wamechukua viti vya Bunge kwa 100% mimi binafsi nimeyapokea kwa furaha sana, sio kwa kuwa naipenda CCM, la bali kwa kuwa CCM na wananchi kwa ujumla bado hawajatambua umuhimu wa kuwa na wabunge wa upinzani. Binafsi ningependa idadi ya viti sawa Bungeni kwa CCM na Upinzani.

Kuwa na wabunge wachache wa upinzani Bungeni ilikuwa ni kupotezeana muda tu. Michango na kauli za kitoto sana vilitawala toka pande zote mbili hadi baadhi yetu kuujiuliza kwa nini wabunge waitwe waheshimiwa!

Kwa upinzani ilikuwa mapema sana kwao kushangilia kuwa Magufuli alishindwa kuua upinzani nchini, na sasa nadhani wameelewa Magufuli alimaanisha nini! Na pia, CCM wasiwe na haraka kushangilia huu ushindi wa 100%. Kuna mambo makuu matano yanawezwa kusababishwa na CCM kuwa na 100% ya wabunge Bungeni.
  1. CCM sasa wanaweza kubadilisha katiba wanavyotaka, kutia ndani kumfanya Magufuli awe raisi wa maisha
  2. Bunge halitachukua muda mrefu kufanya vikao vyake, lakini kutakuwa na manung'uniko mengi ya wabunge kuwa wanaburuzwa
  3. CCM hawatakuwa na wigo wa kuwalaumu wapinzani kwa lolote linalohusu nchi hii - jimbo lisipokuwa na maendeleo hakuna tena kisingizio kwamba ni kwa sababu mlimchagua mbunge wa upinzani
  4. Wananchi hawahitaji tena kuambiwa au kukumbushwa mabaya ya CCM, kama kuna mabya yanafanyika kila mtu atajua ni CCM wanaosababisha
  5. Ugomvi na kutoelewana ndani ya CCM kutachukua hatua mpya bila kuwapo wapinzani wa kuwalaumu kwa lolote linalosababisha ugomvi ndani ya CCM kati ya wabunge na viongozi wa serikali
Asilimia mia jamaa will rule forever and ever
 
I think that was planned from day one
Now everything we are going to see after the results of this election will be no blemishing its our fault.

Don't complain about nepotism, segregation, intimidation, tribalism, religiosity, even when they like to sleep with your wife even children what you need to do is to praise those doing so.

We have chosen to keep silent so let us be silent forever until we generate small wise to say no.
 
Najitolea kukununulia panadol upunguze maumivu
Ni yeyeeeeee
 
Now everything we are going to see after the results of this election will be no blemishing its our fault.
Don't complain about nepotism, segregation, intimidation, tribalism, religiosity, even when they like to sleep with your wife even children what you need to do is to praise those doing so. We have chosen to keep silent so let us be silent forever until we generate small wise to say no.
What do you expect Tanzanians to do, take up arms against CCM?
 
Rais alisema apewe Wabunge na Madiwani wa CCM ili apeleke maendeleo, watengeneza Connection sasa kapewa. Tusubirie maendeleo
 
Najitolea kukununulia panadol upunguze maumivu
Ni yeyeeeeee
Umefurahi eeh? Ngoja tutaona. Kwangu sio tatizo CCM kuwa Bungeni kwa 100%, kwani upinzani walipokuwapo walisaidia nini cha maana? Si ndio hao walisemwa wanapinga kila kitu? Sasa CCM wamepata nafasi ya kutuonyesha walivyo wachapa kazi. Itumieni.
 
Rais alisema apewe Wabunge na Madiwani wa CCM ili apeleke maendeleo, watengeneza Connection sasa kapewa. Tusubirie maendeleo
Hewaaa! Mwisho wa siku hilo ndilo tunataka. Sasa tusubiri maji tele, barabara safi nk, hata kama ni kununua DReamliner nyingine 10 twende tu, hakuna wa kupinga
 
What do you expect Tanzanians to do, take up arms against CCM?
Ivi Kama Magufuli akikubali kuachia madaraka 2025 tume ya uchaguzi ambayo itatumika ni hii hii au atachagua wengne kabla ya kuondoka au utaratibu huwa ukoje
 
Wameacha kuigiza siasa na sasa wanafanya ujambazi mchana kweupe
 
Mleta mada ushukuru kura feki.
VINGINEVYO mambo yangekuwa tofauti.
Nchi imekuwa Mali ya ccm bunge linakwenda kuwa Mali ya ccm.
Ila je mmeshinda kihalali?
 
Kwa namna fulani matokeo tunayoambiwa ya uchaguzi kuwa CCM wamechukua viti vya Bunge kwa 100% mimi binafsi nimeyapokea kwa furaha sana, sio kwa kuwa naipenda CCM, la bali kwa kuwa CCM na wananchi kwa ujumla bado hawajatambua umuhimu wa kuwa na wabunge wa upinzani. Binafsi ningependa idadi ya viti sawa Bungeni kwa CCM na Upinzani, lakini mbunge yeyote wa upinzani akishinda kwenye uchaguzi huu ningependekeza ajiuzuru kuwapa CCM viti 100%.

Kuwa na wabunge wachache wa upinzani Bungeni ilikuwa ni kupotezeana muda tu. Michango na kauli za kitoto sana vilitawala toka pande zote mbili hadi baadhi yetu kuujiuliza kwa nini wabunge waitwe waheshimiwa!

Kwa upinzani ilikuwa mapema sana kwao kushangilia kuwa Magufuli alishindwa kuua upinzani nchini, na sasa nadhani wameelewa Magufuli alimaanisha nini! Na pia, CCM wasiwe na haraka kushangilia huu ushindi wa 100%. Kuna mambo makuu matano yanawezwa kusababishwa na CCM kuwa na 100% ya wabunge Bungeni.
  1. CCM sasa wanaweza kubadilisha katiba wanavyotaka, kutia ndani kumfanya Magufuli awe raisi wa maisha
  2. Bunge halitachukua muda mrefu kufanya vikao vyake, lakini kutakuwa na manung'uniko mengi ya wabunge kuwa wanaburuzwa
  3. CCM hawatakuwa na wigo wa kuwalaumu wapinzani kwa lolote linalohusu nchi hii - jimbo lisipokuwa na maendeleo hakuna tena kisingizio kwamba ni kwa sababu mlimchagua mbunge wa upinzani
  4. Wananchi hawahitaji tena kuambiwa au kukumbushwa mabaya ya CCM, kama kuna mabya yanafanyika kila mtu atajua ni CCM wanaosababisha
  5. Ugomvi na kutoelewana ndani ya CCM kutachukua hatua mpya bila kuwapo wapinzani wa kuwalaumu kwa lolote linalosababisha ugomvi ndani ya CCM kati ya wabunge na viongozi wa serikali
Ukimaliza kubridi uje tena usome ulichokiandika
 
Back
Top Bottom