Akifa leo, wao na familia zao watakula wapi mkuu?
Labda tuwasubiri mafundi Mchundo watuletee miongozo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akifa leo, wao na familia zao watakula wapi mkuu?
It was just small mistake ya uandishi, lkn nafikiri ujumbe wangu ulifika. Na leo hii unaonekana kufanyiwa kazi na kila mtu ili kulinda heshima yake, japo kwa kipindi kile hakuna aliekubali ushauri wa kumtaka Mbowe ajiuzulu.Usitumie neno fomerly kama haujui tafsiri yake.
Umepigilia msumari kwenye kidonda📌🔨Labda tuwasubiri mafundi Mchundo watuletee miongozo
Sijamsikia mtu akimtaka mjomba wako Mbowe ajiuzuru. Maneno yote humu ni asigombee Uenyekiti wa chama chake.It was just small mistake ya uandishi, lkn nafikiri ujumbe wangu ulifika. Na leo hii unaonekana kufanyiwa kazi na kila mtu ili kulinda heshima yake, japo kwa kipindi kile hakuna aliekubali ushauri wa kumtaka Mbowe ajiuzulu.
Kwahiyo kwa sasa na wewe ni miongoni mwa wana CDM wanaotaka Mbowe apumzike au unasimama na kina Yericko Nyerere kupinga Mbowe asijiuzulu?Ama kweli Mbowe anawapeleka puta. Endeleeni kuhangaika na Kamanda Mbowe badala ya kutafuta chakula cha watoto wenu. Kwa taarifa yenu, sisi CHADEMA ndo tutaamua link Mbowe apumzike na so wanalumumba.
Ni kupishana matamshi ya kauli tu kutokana na muda uliyopo, ila lengo ni moja tu la kutaka jamaa asiendelee kuing'ang'ania ofisi ili angalau kujilindia heshima yake.Sijamsikia mtu akimtaka mjomba wako Mbowe ajiuzuru. Maneno yote humu ni asigombee Uenyekiti wa chama chake.
Amandla...
Unakimbizwa na nani?Ni kupishana matamshi ya kauli tu kutokana na muda uliyopo, ila lengo ni moja tu la kutaka jamaa asiendelee kuing'ang'ania ofisi ili angalau kujilindia heshima yake.
Kamanda angesikiliza ushauri wangu akaamua kujiuzulu mapema, angejijengea heshima ambayo imeanza kuvuliwa sasa hivi na watu wasiomtaka agombee.Unakimbizwa na nani?
Amandla...
Unakimbizwa na nani mpaka unashindwa kuandika vizuri?Kamanda angesikiliza ushauri wangu akaamua kujiuzulu mapema, angejijengea heshima ambayo imeanza kuvuliwa sasa hivi na watu wasiomtaka agombee.
Ni kama vile Mugabe alivyoonekana kituko baada ya kushurutishwa kwa nguvu aachie kiti. Ila kina Nyerere na Mandela walioachia kiti bila shuruti mpaka leo heshima yao ni kubwa Afrika na duniani kwa ujumla.
Nakimbizwa na muda wa kuandika.Unakimbizwa na nani mpaka unashindwa kuandika vizuri?
Amandla..