PROFOUND NOTION
Member
- Nov 3, 2022
- 74
- 146
Kipi special sanaa katika hii dunia kinachoweza kunijali kwa dhati eti nikionee huruma??? Eti kinifanye nicheze kwa standards zilizo fair, hakipo, so ni muda wa kuwa ruthless.
Anaekuhubiria uache pombe, anatembea na mke wako
Anaekukamata haujalipa kodi, anapita na pesa zote za mradi wa mtaani kwako.
Nini maana ya uwepo wangu kama watoto wangu watakula mawe?
Nini maana ya legacy yangu kama nitabaki kutamani na kusengenya wengine waliofanikiwa?
Yani ulimwengu umejiandaa na makucha pale napotoka tu mlangoni, dunia imejiandaa na mapanga pale tu napokanyanga ardhini, tayari kunipigisha za uso alafu unaniambia nijipe moyo eti sijui ridiki ni mafungu, mafungu ya nini???? Ya yanya au???
kisa ww una pakumzikia pazuri unajifanya kuwa motivational speakerr unakula hela za bando za youtube huku sisi tunabaki na fikra za uongo.
hauna tabu yangu, hauna ukata wangu.
Watch this space...
Anaekuhubiria uache pombe, anatembea na mke wako
Anaekukamata haujalipa kodi, anapita na pesa zote za mradi wa mtaani kwako.
Nini maana ya uwepo wangu kama watoto wangu watakula mawe?
Nini maana ya legacy yangu kama nitabaki kutamani na kusengenya wengine waliofanikiwa?
Yani ulimwengu umejiandaa na makucha pale napotoka tu mlangoni, dunia imejiandaa na mapanga pale tu napokanyanga ardhini, tayari kunipigisha za uso alafu unaniambia nijipe moyo eti sijui ridiki ni mafungu, mafungu ya nini???? Ya yanya au???
kisa ww una pakumzikia pazuri unajifanya kuwa motivational speakerr unakula hela za bando za youtube huku sisi tunabaki na fikra za uongo.
hauna tabu yangu, hauna ukata wangu.
Watch this space...