Ni chakula gani ambacho ulikila unaridhika..

Ngararumu na Kitalolo
mkuu wanaume wa Dar hivyo hamvijuiii
 
Dah... Damu mbichi ya mbuzi na maini yaliyochanganywa na nyongo.....iko mororo sanaa[emoji4] [emoji4]
 
In fact ugali na nyama choma au kitimoto, baada ya hapo nashushia na soda inayoitwa Sprite
 
MI NIKILA CHAKULA CHA USIKU MWINGI HUWA NARIDHIKA ZAIDI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…