Ni chakula gani ambacho ulikila unaridhika..

Ugali dagaa na mboga za majani zilizochanganywa zikapikwa kwa pamoja na Nazi!!
 
Kwa wale vijana wa Daslam huwa wanapenda Chips +mishikaki + Sprite tekiawei

Note: Mimi ni msemaji wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…