Ni chakula gani ambacho ulikila unaridhika..

Ni chakula gani ambacho ulikila unaridhika..

Ni Bamdogo wako kwa nani labda
hivi dada hujui kumbe kuna siku bwana me na espy akatupa undugu kilazima me mamdogo ake na espy ni dada ake akasema tunamuhalibia sana bora atupe undugu tu kilazima
 
hivi dada hujui kumbe kuna siku bwana me na espy akatupa undugu kilazima me mamdogo ake na espy ni dada ake akasema tunamuhalibia sana bora atupe undugu tu kilazima
Aiseeee
 
Ugali wa mhogo wa kutwanga kwa mkono na samaki aina ya Sato/ Ningu
 
Papuchi aisee! Asikwambie mtu Mimi mpaka naishiwa nguvu nikishiba.
 
Wali /Ugali Roast ya kuku wa kienyeji / Kisamvu Cha Nazi kilichochanganywa kitunguu swaumu na fresh juice ya passion mixed nanasi embe mkuu.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
[emoji39] [emoji39] ukiniwekea na ndizi za kuchoma hapo na kinywaji changu cha baridi daah roho inasuuzika
Jichagulie...
DSC_0042.JPG
 
Heshima kwenu wana jf

niende straight kwenye mada je ni chakula gani ambacho ukila una ridhika kabisa...??
Mm ni wali maharage yaani kwenye sherehe hua sikosi kama kuna hiki kitu wali maharage

wewe je unapenda chakula gani zaidi
Makinikia ya kuku .
 
Back
Top Bottom