Ni changamoto ipi umekutananayo katika kuripoti

mambo ya kupambana na chaki aisee na vumbi lote lile, nifundishe wanafunzi 200 darasa moja, nisahihishe madaftari yote yale, niwahi shule saa moja, niondoke saa kumi na moja, usafiri kufuata mshahara nako ni gharama sawa na robo mshahara.... negatives ni nyiiingi kuliko positives! dah...

nikiwaza hapo mi huwa moyo unaenda mbio na kupoa ghafla!!
 

pole sana mkuu
 

na wewe ni mwl mpya au?
 
Huku benki ni moja tu...ile ya 'makabwela,'
huna akaunti...fomu zipo unajaza, unafungua...

Sijasikia, wala sijui chochote mpaka dakika hii niandikapo kuhusu CWT

...Ilipofika saa tano na dakika kadhaa, zilianza semina kutoka benki...Kwa mfano, CRDB, NBC na NMB...
 
Huk kwe2 cc 2melipia 3500. Hata uwe na bima ya afya hawataki wataka cash
 
Pigeni kazi wakuu ila kama mlikuwa mumezoea town? Daah I'm real sorry kwa kuwakosa JF hadi likizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…