1. DIT
2. UDSM
3.St joseph (japo wengi hapa ada inasumbua)
kweli kakaDit home of engineering
Engineering ni udsm tu nchi hii.akitaka u-technician nenda dit na san-jose.
mwambie hana sifa za kuwa engineer
St. Joseph wapo poa ila ada ni hatare kwa life la kibongo
Habarini wanajamvi,
Kwa ufupi ni kuwa mdogo wangu alimaliza form six 2014 na kupata division one ya points 7 PCM,lakini kutokana na alipata kikazi cha kujishikiza kidogo akaamua kuto aplly mwaka 2014 hivyo ana mpango wa ku apply 2015 mshauri achague chuo gani kwa course mama za engineering i.e electrical,mechanical,civil