geometry
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 466
- 358
Habarini wanajamvi,
Kwa ufupi ni kuwa mdogo wangu alimaliza form six 2014 na kupata division one ya points 7 PCM,lakini kutokana na alipata kikazi cha kujishikiza kidogo akaamua kuto aplly mwaka 2014 hivyo ana mpango wa ku apply 2015 mshauri achague chuo gani kwa course mama za engineering i.e electrical,mechanical,civil
Kwa ufupi ni kuwa mdogo wangu alimaliza form six 2014 na kupata division one ya points 7 PCM,lakini kutokana na alipata kikazi cha kujishikiza kidogo akaamua kuto aplly mwaka 2014 hivyo ana mpango wa ku apply 2015 mshauri achague chuo gani kwa course mama za engineering i.e electrical,mechanical,civil